Coolant
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,259
- 2,209
Watu wanaongelea mustakabali wa taifa letu huku kesho ikiwa ni siku muhimu sana wajinga wachache wanashabikia udini.
Mkuu naona umekurupuka, ungeendelea kulala ingependeza zaidi
Watu wanaongelea mustakabali wa taifa letu huku kesho ikiwa ni siku muhimu sana wajinga wachache wanashabikia udini.
Naomba nitoe nyongo kidogo...!!!
Kuna wakati JF huwa inakuwa kituko fulani hivi, bado najiuliza post ya nyama Choma kwenye miji na majiji yetu ilikuwa na kasoro gani hadi inyofolewe?
Mpaka sasa, bado sijala kinyonga,nge,nyuki na nzi. Lakini viumbe wengine wengi walio karibu yangu nimewala.
labda ilikua inaharibu biashara za mods.
Usipotoshe mjadala tafadhali kama ndio unaamka tulia kwanza akili ikae vizuri usome uelewe ndio uchangie kama unaona inafaa kuchangia
Naomba usome kwa makini nilichoandika
Watu wanaongelea mustakabali wa taifa letu huku kesho ikiwa ni siku muhimu sana wajinga wachache wanashabikia udini.
unawachokoa waislamu kwa nini wakati wewe sio muislamu, we endelea kula vibudu vyako .
Samaki anachinjwa na ndoano, ila ndio hakuna kuelekezeana kibla wala bismillahKibudu ni mnyama anayekufa bila kuchinjwa, na hii inaelezeka zaidi kwenye imani ya kiislam kwakuwa kila mnyama achinjwaye ana dua yake maalum kabla ya kuchinjwa .
Lakini pia kwa mfano kwenye imani za kibudha na nyinginezo ikibidi kabisa kula kumuua mnyama kwa matumizi ya chakula hufanya hivyo huku ukiomba karma isije ikakurudia kwakuwa hufanyi kwa chuki wala kwa starehe bali kuushibisha mwili baada ya kukosa jinsi nyingine yoyote.
Samaki hachinjwi je samaki ni kibudu?
We kweli kizi sana, yaani kwakua kesho ni siku ya uchaguzi basi tusijadili na mambo mengine kwa utashi na upeo wako mdogo unadhani hakuna maisha yatakayo endelea baada ya uchaguzi!?
Na alie kuambia kwamba hii mada inajadili udini ni nani?
Wacha kupotosha mada aisee... na hii inanipa shaka sana katika uwezo wako wa kufikiria aiseeee....
Hapa uzi unauliza kwamba, je samaki ni kibudu?
mnyama apaswa kuchinjwa ndo umfanye kitoweo