Absolutely yes! Ili kutenda haki alipaswa kusema how Roma anaweza kuwa shahidi angainst whom and under which chareges na kwa misingi ipi? Sasa kuropoka tu bila hata kujua ABC ya ICC huo nao ni uzwazwa!Tueleze wewe uliyemkosoa! Umesema wazi wazi hajui jinsi ICC inavyo operate,maana yake wewe unafahamu! Ndio maana Mkuu hapo juu amekuuliza wewe hilo swali utoe ufafanuzi,ukisema tena mtoa Mada atoe ufafanuzi utakuwa unajichanganya!
khaa.. kumbe unataka ligi? pole sana huu sio uwanja wa mapambano, shinda mechi zako za home ili ukienda ugenini ukatoe droo, umejiunga lini jf?Tuweke ligi mzee!
It seems wewe ndiyo mbumbumbu mkuu. soma Rome statute especially Article 7 ambayo imetaja makosa 11 ambayo yakitokea Mahakama ya ICC ina mamlaka ya kusilikiliza kesi kutokana na makosa hayo.Mshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!
Sasa ujuaji umefikaje hapa dogoNimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.
Jamani jamani umezidi ujuaji brother ahhahahahhahaah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa maada ndo boya kwa kuleta vitu ambavyo hata havielewi, kisa kujitia unuaji wa kila kitu. Yeye abaki kwenye matunguli huku awaachie wenye weledi wao. Unaleta issue ya ICC halad huelezi how Roma anaweza kuwa shahidi kwa angle ipi na makosa yapi and against who. Huo ndo ugreat thinker, siyo kuleta habari au arguement ambayo haina basis yoyote. Huu ni ujuha!wewe ni boya tu, huna lolote, kama unaona mtoa mada kakosea au hajui, kwanini usieleze wewe? kwa hio elimu yako unabaki nayo mpaka utakapokufa? tena ukifa utaulizwa elimu yako iliwasaidiaje wanadamu, utakua huna jibu na kifuatacho ni motoni, huna ishu!
Jf search engineSecretary of State Michael Pompeo on March 15, 2019 announced that the bans will apply to ICC personnel involved in the court’s potential investigation of US citizens and may possibly be used to deter ICC investigations against citizens of US allies.
Jr
Utawaweza hawa Wanachuo,blah blah nyingi,tunataka atoe ufafanuzi wake anaanza kuleta ngonjera tena.
Useless kabisa. Hakuna anachokijua anajidhalilisha tu humu!Mitandao ya kijamii kwa kweli imejaa kila mtu na wazo lake na anaamini yuko sahihi. Dah!
AhahhaahhahahahaahhaahaMtoa maada ndo boya kwa kuleta vitu ambavyo hata havielewi, kisa kujitia unuaji wa kila kitu. Yeye abaki kwenye matunguli huku awaachie wenye weledi wao. Unaleta issue ya ICC halad huelezi how Roma anaweza kuwa shahidi kwa angle ipi na makosa yapi and against who. Huo ndo ugreat thinker, siyo kuleta habari au arguement ambayo haina basis yoyote. Huu ni ujuha!
Useless kabisa. Hakuna anachokijua anajidhalilisha tu humu!Mitandao ya kijamii kwa kweli imejaa kila mtu na wazo lake na anaamini yuko sahihi. Dah!
Na kuwa watu wanamwamini jamani Elimu Elimu Elimu.Mitandao ya kijamii kwa kweli imejaa kila mtu na wazo lake na anaamini yuko sahihi. Dah!
Hapa sijaona hoja zaidi ya mipashoMshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!