Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
- Thread starter
- #41
maswali yote anatakiwa kujibu Ridhwani,
Kusema ukweli nimekatishwa tamaa na wapinzani,Hawna jipya..Yaani wameniskitisha kuhsindwa katika jimbo la kiteto,wameksosa nini au Wamerogwa??na kuwasiadia mbinu zote wakashindwa
yaani this is too much na inaonesha aukilaza wao nitaendelea kukata nondo kama kawa ila kwa hili mmenihuzinisha sana,mmenisikasiisha sana.sasa mtashinda wapi??
Mie nitatetea yote mazuri,nina mapenzi na Chadema kama chama ila sina mapenzi na viongozi wake sababu wanakipeleka chama mahali tusipopatarajia,
Gembe mtaalamu wa kuchambua maswali yanayoelekezwa kwa viongozi na watu mbalimbali kuhusu ufisadi, leo anakacha kujibu na kutaka mhusika aje kujibu mwenyewe?
Ama kweli inawezekana kama alivyosema KIMBEMBE labda kuna kimbembe hapa.
Hebu tuwekeni wazi.
Gembe aliyesema muda mfupi uliopita CCM taifa kubwa muda huu anasema anaipenda CHADEMA kama chama, ni kugeuza mada tujadili kitu kingine Ridhwan aachwe?
Kama kuna conflict of interest tuambizane jamani.
Hapa kuna jambo au MWANAHALISI wamezua kimbembe?
Asha