Je, Ridhiwani Jakaya Kikwete anaweza kuwa Rais ajaye wa JMT?


Itabidi afanye investment kubwa sana kwenye akili yake. Hajatulia. Ana papara. Anapenda sifa na ukubwa. Itakuwa ngumu sana kwake. Dr. Mwinyi si mtu wa longolongo wala makundi. He has survived the test of time.
 
Ila rais mpya atapatikana kabla 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…