Je Putin ananza kujitanua?

Je Putin ananza kujitanua?

Tuliza mshono kuu.Leta huja mkuu sio matusi
Tuliza shanga dada,mbona umekua mkali kama vile umekatiwa shanga na konda?

Mzingueni Putin the great,muone kama hajaweka makombora hapo cuba fasta tu mpk lile wigi la babako Trump limvuke kichwani.
 
Naona unaichukulia US kama taarab vile, ukome sbb ndio wanakuwezesha hata ww humu utumie hiyo simu yako na internet utapike pumba zako huku, unapewa na misaada, ulishaona msaada hata mmoja wa Russia ktk maisha yako? US ndio kila kitu, kichwa kibuyu wee
UMESAHAU NA HII, NDIO WALIOSABABISHA MARADHI YA UKIMWI DUNIANI ILI KUUWA WATU, NDIO WALIOUWA WATU WENGI IRAQ, LIBYA NA AFGHANISTAN, NDIO WALIOUWA MAELFU YA WATU JAPAN NA VIETNAM
 
China ameanza kukua baada ya kuluhusu ubepali kwenye mfumo wake wa kiuchumi baada ya kuona ukomnisti unawarudisha nyuma so tunapata picha baada ya trump kupiga marufuku bisha kutoka china Viwanda vya Wamarekani vinafungwa china na kurudisha marekani ndo mana mchina anapiga mayowe.kuhusu swala la irani.irani sio tishio kwa U.S Iran saizi yake saudia na Israel
kipindi china anakua kwa kasi walikuwepo wap?

north korea mpaka wanafanikisha kuunda kombora la kuweza kufika us CIA walikuwa wap ?

iran mpaka anakuwa sugu walikuwepo wao?

Assad anakomboa miji wapo wap us?

mpaka vilaza tanzania wananunua silaha north korea us alikuwa wap?
 
Unadhani kwa nn mchina ana lialia kutokana na sela za trump.anajua kwasababu bidhaa zita doda hatimaye wawekazaji kurudisha viwanda U.S.mfano Apple na huko Detroit viwanda vya magari vina fufuliwa upya
sio data sahihi mkuu japo kiasi fran wageni wanaviwanda lkn haizidi ata 20%
 
China ameanza kukua baada ya kuluhusu ubepali kwenye mfumo wake wa kiuchumi baada ya kuona ukomnisti unawarudisha nyuma so tunapata picha baada ya trump kupiga marufuku bisha kutoka china Viwanda vya Wamarekani vinafungwa china na kurudisha marekani ndo mana mchina anapiga mayowe.kuhusu swala la irani.irani sio tishio kwa U.S Iran saizi yake saudia na Israel
pote ni sahihi lkn apo size ya iran ni usrael na saudia sio kweli ata kidogo hasa kijeshi na teknolojia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom