Je Putin ananza kujitanua?

Je Putin ananza kujitanua?

Unadhani kwa nn mchina ana lialia kutokana na sela za trump.anajua kwasababu bidhaa zita doda hatimaye wawekazaji kurudisha viwanda U.S.mfano Apple na huko Detroit viwanda vya magari vina fufuliwa upya
kumbuka china ni mkopi teknolojia alafu now ameamishia nguvu kubwa africa
 
Mbona uyo mrusi hatutibu afu hakuna uthitisho kwamba uwo ugojwa ametengeza U.S na hakuna sababu ya yy kufanya ivo zaidi ya hasara.afu kwenye swala la kumwaga damu wote hao wamemwaga damu mfano uyo Russian kaanza kumwaga damu Afghanistan pia kipindi cha utanuzi iliyokuwa soviet union.japan amemwaga damu china,philines.Hawaii.
UMESAHAU NA HII, NDIO WALIOSABABISHA MARADHI YA UKIMWI DUNIANI ILI KUUWA WATU, NDIO WALIOUWA WATU WENGI IRAQ, LIBYA NA AFGHANISTAN, NDIO WALIOUWA MAELFU YA WATU JAPAN NA VIETNAM
 
Kuna silaha gani mpya tishio ambayo iran anayo pekeake zaidi zaidi za kununua kwa mrusi na marekani
pote ni sahihi lkn apo size ya iran ni usrael na saudia sio kweli ata kidogo hasa kijeshi na teknolojia
 
long live putin

Hapo sasa wamarekani wanachanganyikiwa wakiona RAIS wao yuko kimya na Putin anapeleka ndege zake za kivita huko Venezuela; hapo mahasimu wa Trump ndio wanaconnect dots kuwa huyu Trump lazima alisaidiwa na Putin kushinda uchaguzo 2016 ndio maana anamgwaya!! Je unafikiri kama Hillary Clinton angekuwa ndio Rais hizo ndege zingetua Venezuela bila kashikashi kama ile ya CUBAN crisis ya Kennedy na Krushev?
 
RUSSIA KIDUME
Screenshot_20181203-155540.jpeg
Screenshot_20181203-155534.jpeg
 
Putin ndiye rais pekee duniani ambae wimbo wa taifa lake ukipigwa hua mpk anatoa machozi/analia huku amesimama kishupavu.

Sisi huku tumetoa waraka kwamba ili uimbe wimbo wa taifa mpk uombe kibali.
 
Ndo nakwambije mkuu Russian ni loser kwa sababu kama ameshindwa kumaintain uchumi wake ndo ataweza kurudisha wamajiran.
Kajitahidi saaana.Kwa sasa anarudi vizuri zaidi.Tayari anazijua mbinu zao za vikwazo na yeye anajua namna ya kuepukana navyo.
 
Tuliza shanga dada,mbona umekua mkali kama vile umekatiwa shanga na konda?

Mzingueni Putin the great,muone kama hajaweka makombora hapo cuba fasta tu mpk lile wigi la babako Trump limvuke kichwani.
 
China ameanza kukua baada ya kuluhusu ubepali kwenye mfumo wake wa kiuchumi baada ya kuona ukomnisti unawarudisha nyuma so tunapata picha baada ya trump kupiga marufuku bisha kutoka china Viwanda vya Wamarekani vinafungwa china na kurudisha marekani ndo mana mchina anapiga mayowe.kuhusu swala la irani.irani sio tishio kwa U.S Iran saizi yake saudia na Israel
Hayo mayowe yanapigwa pande zote mbili mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom