Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,659
- 4,386
kumbuka china ni mkopi teknolojia alafu now ameamishia nguvu kubwa africaUnadhani kwa nn mchina ana lialia kutokana na sela za trump.anajua kwasababu bidhaa zita doda hatimaye wawekazaji kurudisha viwanda U.S.mfano Apple na huko Detroit viwanda vya magari vina fufuliwa upya




