Je Putin ananza kujitanua?

Je Putin ananza kujitanua?

Hayo umeyapata kupitia vyanzo ulaya magharibi au USA?.Kama jibu ni ndio basi pole yako ndugu.
Unless kama ulikuwa hujazaliwa lkn waliokuwepo zama hizo ni mashahidi. Sasa kujibu kienyeji hivyo bila kuwa na hoja ya ku-challenge hoja yangu inaonyesha jinsi ulivyo mchanga ktk maswala ya kimataifa na namna unavyotawaliwa na ushabiki wa vijiweni.
 
Unless kama ulikuwa hujazaliwa lkn waliokuwepo zama hizo ni mashahidi. Sasa kujibu kienyeji hivyo bila kuwa na hoja ya ku-challenge hoja yangu inaonyesha jinsi ulivyo mchanga ktk maswala ya kimataifa na namna unavyotawaliwa na ushabiki wa vijiweni.
Siku zote huwezi pata picha positive attitude juu ya Russia kwa kupitia vyanzo vya Western.Vyombo vyao karibia vyote ni anti Russia.Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa hayo umeyapata kupitia Western propaganda machines.Hao jamaa siku zote huiita Russia majina ya ajabu ajabu na Putin wake.Russia ni nchi maskini,ni nchi ya udikteta,ni nchi isiyostaarabika,ni nchi yenye vifaa vya kijeshi vilivyopitwa na wakati,rejea UK,pindi Meli za Russia za kijeshi zilipoikaribia UK.Rejea pia Syria wakati Russia anaanza rasmi kampeni ya kumuokoa Assad.Mara kombe la dunia lisiende Russia.Mara Russia anawaua maajenti wake wa zamani walioasi kama yule wa UK kwa kutumia Navichok na full tuhuma zingine za kijinga.Mara raia wake ni maskini wa kutupwa na ujinga mwingine.Cha ajabu hakuna hata taifa moja la ulaya ya magharibi linaloweza kupigana na Russia.Karibu kila aina ya teknolojia ipo pale Russia.Russia sio maskini hata kidogo.Gesi wanategemea ya Russia.Western Europe hata siku moja sio marafiki wa Russia.Sababu wanazijua wao wenyewe.
 
Pompeo Anajifanya anawaonea huruma wananchi wa Venezuela na Russia. Wakati US ina kambi kila bara. Unafiki Kazi Sana
IMG_20181212_132612.jpeg
 
Siku zote huwezi pata picha positive attitude juu ya Russia kwa kupitia vyanzo vya Western.Vyombo vyao karibia vyote ni anti Russia.Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa hayo umeyapata kupitia Western propaganda machines.Hao jamaa siku zote huiita Russia majina ya ajabu ajabu na Putin wake.Russia ni nchi maskini,ni nchi ya udikteta,ni nchi isiyostaarabika,ni nchi yenye vifaa vya kijeshi vilivyopitwa na wakati,rejea UK,pindi Meli za Russia za kijeshi zilipoikaribia UK.Rejea pia Syria wakati Russia anaanza rasmi kampeni ya kumuokoa Assad.Mara kombe la dunia lisiende Russia.Mara Russia anawaua maajenti wake wa zamani walioasi kama yule wa UK kwa kutumia Navichok na full tuhuma zingine za kijinga.Mara raia wake ni maskini wa kutupwa na ujinga mwingine.Cha ajabu hakuna hata taifa moja la ulaya ya magharibi linaloweza kupigana na Russia.Karibu kila aina ya teknolojia ipo pale Russia.Russia sio maskini hata kidogo.Gesi wanategemea ya Russia.Western Europe hata siku moja sio marafiki wa Russia.Sababu wanazijua wao wenyewe.
Unaposema hawawezi kupigana sijui wewe unatumia barometer gani kupima uwezo au sijui waliwahi kupigana lini hao wakashindwa.

Hujui kwenye vita kuna mbinu nyingi zaidi ya kubeba silaha tu na kwenda Front Line. Hivi unafahamu kuwa hao hao Russia kwenye mwaka 1980 waliivamia kijeshi Afghanistan lkn baadaye walilazimika kuondoka "Prematurely", unafikiri ni kwa nini waliondoka kivile. Usicheze na vita, vita sio lele mama, Nyerere aliwahi sema.
 
Unaposema hawawezi kupigana sijui wewe unatumia barometer gani kupima uwezo au sijui waliwahi kupigana lini hao wakashindwa.

Hujui kwenye vita kuna mbinu nyingi zaidi ya kubeba silaha tu na kwenda Front Line. Hivi unafahamu kuwa hao hao Russia kwenye mwaka 1980 waliivamia kijeshi Afghanistan lkn baadaye walilazimika kuondoka "Prematurely", unafikiri ni kwa nini waliondoka kivile. Usicheze na vita, vita sio lele mama, Nyerere aliwahi sema.
Waliondoka baada ya kugundua kuwa ile vita haikuwa na faida yoyote kwao,kwa hiyo wakaonelea ni bora wasiwabebeshe mzigo wananchi wao kwa kodi zao wazilipazo.
 
Waliondoka baada ya kugundua kuwa ile vita haikuwa na faida yoyote kwao,kwa hiyo wakaonelea ni bora wasiwabebeshe mzigo wananchi wao kwa kodi zao wazilipazo.
Pale Afghanistan ndipo shetani alipishushwa ulimwenguni,pale ndipo nabii suleiman alikuwa akiwatumia watumwa majini kuchimba mapango na mahandaki yaliopo mpaka Leo.
Kuhusu Vita ,Hata marekani ameshaanza kuondoka bila kuweka mambo saw a Kama inavyofikiliwa.
 
Pale Afghanistan ndipo shetani alipishushwa ulimwenguni,pale ndipo nabii suleiman alikuwa akiwatumia watumwa majini kuchimba mapango na mahandaki yaliopo mpaka Leo.
Kuhusu Vita ,Hata marekani ameshaanza kuondoka bila kuweka mambo saw a Kama inavyofikiliwa.
Aiseeeee
 
Waliondoka baada ya kugundua kuwa ile vita haikuwa na faida yoyote kwao,kwa hiyo wakaonelea ni bora wasiwabebeshe mzigo wananchi wao kwa kodi zao wazilipazo.
Unajibu kilevi mno. Sio kweli. Mpaka wanaamua kuvamia walijua ni kwa nini wanavamia.
 
Akitoka huko akapige zoezi pale CUBA uone mzee wa Wigi atavyopaniki.

Naona unaichukulia US kama taarab vile, ukome sbb ndio wanakuwezesha hata ww humu utumie hiyo simu yako na internet utapike pumba zako huku, unapewa na misaada, ulishaona msaada hata mmoja wa Russia ktk maisha yako? US ndio kila kitu, kichwa kibuyu wee
 
Pompeo Anajifanya anawaonea huruma wananchi wa Venezuela na Russia. Wakati US ina kambi kila bara. Unafiki Kazi Sana View attachment 965994
Serikali ya Amerika itakuwa ina undugu na Lucifer. Kwani hiyo hali ya Venezuela kiuchumi aliyeisababisha ni nani kama si yeye? Nchi haina chakula kabisa, raia wa Venezuela wanashinda njaa kama nchi ipo kwenye vita. Venezuela ina utajiri mkubwa kabisa, utajiri wa mafuta na utajiri wa madini. Kuna ripoti moja ya Marekani ya mwaka 1993, jiolojia wa Amerika walienda kufanya tafiti Venezuela. Tafiti ikatoka kwamba Venezuela ina utajiri wa madini mengi kwa kiasi chake.

Amerika kama kawaida yake akautaka huo utajiri Venezuela akakaza. Amerika akajaribu mpaka njia za mapinduzi akashindwa. Akafanya ya kwake ndiyo haya yaliyotokea. Nchi ina utajiri wa mafuta mengi na madini mengi halafu unaambiwa kuna baa la njaa. Kuna kumbukumbu moja niliisoma kuhusu Mzungu mmoja miaka ya zamani sana hapa Tanzania na sijui huyo mzungu alikuwa ni raia wa wapi. Aliwekeza Shinyanga huko kwenye mgodi na aliwapenda wafanyakazi wake. Laa haulaa! Hao Wazayuni wanaomiliki biashara ya madini huko Mataifa makubwa wakamtaka jamaa awauzie mgodi, jamaa akakaza. Kilichotokea maduka yote yanayofanya biashara ya madini yakatonywa yasinunue madini ya jamaa. Yaani madini yanakosa soko hayanunuliwi lakini ni ya kwake tu. Mwisho wa siku alifilisika na akafa.

Ila matikiti maji kama kawaida yao yatakuja hapa na kuandika kilochoua uchumi wa Venezuela ni ujamaa kama western media zinavyokazia. Serikali ya Marekani kwa hapo ilipofikia inabidi iambiwe basi, uliyoyafanya unabidi ukae kimya sasa.
 
Serikali ya Amerika itakuwa ina undugu na Lucifer. Kwani hiyo hali ya Venezuela kiuchumi aliyeisababisha ni nani kama si yeye? Nchi haina chakula kabisa, raia wa Venezuela wanashinda njaa kama nchi ipo kwenye vita. Venezuela ina utajiri mkubwa kabisa, utajiri wa mafuta na utajiri wa madini. Kuna ripoti moja ya Marekani ya mwaka 1993, jiolojia wa Amerika walienda kufanya tafiti Venezuela. Tafiti ikatoka kwamba Venezuela ina utajiri wa madini mengi kwa kiasi chake.

Amerika kama kawaida yake akautaka huo utajiri Venezuela akakaza. Amerika akajaribu mpaka njia za mapinduzi akashindwa. Akafanya ya kwake ndiyo haya yaliyotokea. Nchi ina utajiri wa mafuta mengi na madini mengi halafu unaambiwa kuna baa la njaa. Kuna kumbukumbu moja niliisoma kuhusu Mzungu mmoja miaka ya zamani sana hapa Tanzania na sijui huyo mzungu alikuwa ni raia wa wapi. Aliwekeza Shinyanga huko kwenye mgodi na aliwapenda wafanyakazi wake. Laa haulaa! Hao Wazayuni wanaomiliki biashara ya madini huko Mataifa makubwa wakamtaka jamaa awauzie mgodi, jamaa akakaza. Kilichotokea maduka yote yanayofanya biashara ya madini yakatonywa yasinunue madini ya jamaa. Yaani madini yanakosa soko hayanunuliwi lakini ni ya kwake tu. Mwisho wa siku alifilisika na akafa.

Ila matikiti maji kama kawaida yao yatakuja hapa na kuandika kilochoua uchumi wa Venezuela ni ujamaa kama western media zinavyokazia. Serikali ya Marekani kwa hapo ilipofikia inabidi iambiwe basi, uliyoyafanya unabidi ukae kimya sasa.
agiza gongo ntalipa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom