Je Putin ananza kujitanua?

Je Putin ananza kujitanua?

Mtazamo wako hauendani kabisa na wamarekani wengi waliompigia kura Clinton, ukitoa ile college votes ya wachache.Ingia CNN uone mtazamo wa wananchi wa Marekani.
Bado CNN(wanaotoa maoni kupitia CNN0, haiwezi kuwakilisha wamarekani wote mkuu.
 
hata mimi nilitaka kuuliza,na hizo f16 ina maana zilienda mpaka venezuela?,zingezilipua angani si ingekuwa big loss kwa russia?fafanua vizuri.
Dah, swali zuri, ingawa mimi sijasikia kulipuliwa ndege kwa muda, mathalani maeneo kama hayo ya Scandinavia, wahasibu wangesema ni "probable" ei very unlikely boss.
 
Kwa kifupi ni kuwa wamarekani walio wengi hawampendi Trump.Hakikaaaa.Na hata viongozi waliomtangulia hawako nae.Fuatilia kwa undani mkuu.Kama angekuwa kweli ni kipenzi chao sidhani kama hali hiyo ingejitokeza.
Sawa. Wameanza kumchukia hivi karibuni, au hata kabla ya uchaguzi? Kama ni hivi karibuni, kwa nini? Na kama ni hata kabla ni nani alimchagua?
 
China seeks dominance, He competes both USA & Russia. She wants to be the one and only Super Power.
hayo unayoona kama mahusiano yake na Rusia Kijeshi ni Power acquisition strategy yake, anamfake Mchina Militarily kama alivyokuwa anamfake USA economically, now China regrets Trump has come.
basi china sio tishio kwa us coz biashara anayafanya na us ndio inampa kiburi na labda ndio sababu inayomfanya awekeze africa kwa kasi sana lkn africa vilevile now hawamuamini mchina kivile

hasa hii tabia yake ya kuwa karibu na watawala tu bila kusaidia wanachi na haka katabia pendwa kakuchukua vitega uchumi vya nchi anayoidai atajikuta wananchi wamewaanzishia wachina passive restance Umukonto wisizwe inaweza kurudi
 
imefanya nifikilie jinsi pentagon walivyoshangaa kuona inavyochanja anga maelfu ya kilometa bila shida yotote na jinsi wavyouchukulia huu urafiki wa vena na hyu genius putin
Hahaha...Genius??? Oh, hivi ni nani atakaye mrithi Putin hapo kwenu Russia? The best candidate wa kumrithi ni nani? Au mtamuacha mpaka atoke mwenyewe? I just wanna know in advance.
 
Sawa. Wameanza kumchukia hivi karibuni, au hata kabla ya uchaguzi? Kama ni hivi karibuni, kwa nini? Na kama ni hata kabla ni nani alimchagua?
Trump alianza kuchukiwa tangu kipindi cha uteuzi,kipindi cha uchaguzi na mpaka leo.Kauli zake siku zote ni tata.pia haishi kwenye kauli zake.Pia ameonekana kuwa anazichukia media kwa sababu tu ya ukosoaji.Ni mtu wa skendo pia.Ukaribu wake pia kwa Putin.Wamarekani walio wengi hawamwamini.Pia ni mbaguzi saana.
 
Hahaha...Genius??? Oh, hivi ni nani atakaye mrithi Putin hapo kwenu Russia? The best candidate wa kumrithi ni nani? Au mtamuacha mpaka atoke mwenyewe? I just wanna know in advance.
Russia sio putin kumbuka pale uraisi ni taasisi jeshi la urusi ni bora toka zamani pia aliebuni S-200 sio alieunda S-400 atakuja mwingine kuendeleza putin alipoishia na naona kijeshi tayari wapo vzr so naihisi atakaefata atakuwa mwanadiplomasia kazi yake itakuwa ni kurudisha ushawishi wa urusi tena(kituambacho putin ameanza kukufanya) then wanaweza kumalizia na mfanyabiashara
 
Russia sio putin kumbuka pale uraisi ni taasisi jeshi la urusi ni bora toka zamani pia aliebuni S-200 sio alieunda S-400 atakuja mwingine kuendeleza putin alipoishia na naona kijeshi tayari wapo vzr so naihisi atakaefata atakuwa mwanadiplomasia kazi yake itakuwa ni kurudisha ushawishi wa urusi tena(kituambacho putin ameanza kukufanya) then wanaweza kumalizia na mfanyabiashara
 
Trump alianza kuchukiwa tangu kipindi cha uteuzi,kipindi cha uchaguzi na mpaka leo.Kauli zake siku zote ni tata.pia haishi kwenye kauli zake.Pia ameonekana kuwa anazichukia media kwa sababu tu ya ukosoaji.Ni mtu wa skendo pia.Ukaribu wake pia kwa Putin.Wamarekani walio wengi hawamwamini.Pia ni mbaguzi saana

Aliyempigia kura na akatangazwa mshindi, ni nani???
 
basi china sio tishio kwa us coz biashara anayafanya na us ndio inampa kiburi na labda ndio sababu inayomfanya awekeze africa kwa kasi sana lkn africa vilevile now hawamuamini mchina kivile

hasa hii tabia yake ya kuwa karibu na watawala tu bila kusaidia wanachi na haka katabia pendwa kakuchukua vitega uchumi vya nchi anayoidai atajikuta wananchi wamewaanzishia wachina passive restance Umukonto wisizwe inaweza kurudi

China na USA wanategemeana sana kiuchumi - Japo Mchina alikuwa mfaidika mkuu, kinachoendelea sasa kinatokana na ujasiri wa Trump kufanya maamuzi magumu ama sivyo haya mataifa mawili yajiandae kuishi kama mume na mke ktk ndoa ya kikristo.
 
China na USA wanategemeana sana kiuchumi - Japo Mchina alikuwa mfaidika mkuu, kinachoendelea sasa kinatokana na ujasiri wa Trump kufanya maamuzi magumu ama sivyo haya mataifa mawili yajiandae kuishi kama mume na mke ktk ndoa ya kikristo.
Duuuuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom