Una uthibitisho wowote? Au unapiga porojo tu?
Lakin mkuu hakuna mahala panapo onyeshe selikali ya Zambia au China kukanusha tuhuma izo na pia kuwatoa hofu wana nchi.pia China kuchukua port ya sir Lanka,na kenya port ya mombasa na inatosha kuthibisha mchina si mtu mzuri kwa ustawi na maendeleo ya Africa

karibu mkuu