SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,101
- 6,708
Wakuu, Wahusika,
Ni matumaini yangu mmejaa rehema na amani Asubuhi hii katika kukabiliana na majukumu yenu. Nawaombeni muda wenu mchache kutathmini Uzi huu ili kuweza kulinusuru Taifa.
Mada: Katika kile nilchokiona kamaa ni ukiukwaji wa Sheria ya Takwimu, Statistics Act (revised 2019) Sehemu ya 26(2)(3) sehemu ndogo C inayompa/enye matakwa ya kuwa msambazaji wa Takwimu kuhakikisha anatoa takwimu hizo kwa Usawa na kutopendelea katika, kuripoti, kuwakilisha, na kusambaza matokeo ya Taarifa za Takwimu.
Siku ya Jumatano tarehe 22/2/2023 mnamo saa kumi na moja Jioni jamvini, mwanahudhuri mmoja ali bandika uzi unaodai "Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu uchumi wa Tanzania. Takwimu hazidanganyi"
Katika maudhui yake ambayo inaweza kutafsiriwa kuwa ilijengwa kuchafua Serikali ya Tanzania ya Awamu ya Hayati Raisi John Pombe Magufuli ambamo amedai ushahidi wake amedadavua kutokana na Taarifa zilizochapishwa katika jarida linaloitwa Tanzania Business Insight ambayo 'ilinukuu' taarifa za Benki Kuu Tanzania(BOT) na Ofisi ya Takwimu Tanzania. NBS au National Bureau of Statistics.
Alidai, Takwimu hizo zinabainisha awamu za mwanzo za marais wa tatu kati ya 1995 mpaka 2015. Tanzania na kuonyesha Uchumi 'uliharibiwa' na Hayati Rais J.P Magufuli... kwa maoni yangu hii ni slandering!
Walakin, kwa kile alichokiita "Majigambo" ya Serikali iliyoongozwa na Hayati Raisi na kubaini yanayodhihirisha kuwa ni upotoshaji wa Umma na Wananchi wa Tanzania na Dunia kwa Ujumla kuwa Serikali ilitunga sheria za Kidikteta ambazo zilileta changamoto kwa yeyote yule anayetaka Ku Challenge Taarifa ambazo anadai(mwanahudhuri) ni za kupikwa na Uongo, kitendo ambacho nimekiona kana Upotoshaji kana hizo taarifa ambazo zilinukuliwa BOT na Ofisi ya Taifa ya Takwimu kuwa zilipikwa na za uongo na ndio kulipeleka Serikali kutunga sheria kuficha uovu.... yaani takwimu za uongo na za kupika kwa kile nilichokiona ni kuwa ni ukiukwaji wa sehemu ya 26(2)(3) sehemu ndogo C. ya Sheria ya Takwimu(2019) na kuichafua Serikali.
Wakuu/Wahusika,
Sheria ya Takwimu inatoa na kuwapa Wajibu Ofisi ya Taifa ya Takwimu Licha kuwapa majukumu mengine, pia inawapa haki ya kupinga matumizi mabaya au tafsiri potofu ya taarifa za takwimu zinazosambazwa na mtu yeyote (hapa ni mwanhudhuri mwenzetu)ikiwa maelezo hayo ya takwimu yana makosa ya msingi au hayafuati kanuni zilizoainishwa chini ya sehemu 26(3).C
Kwa hayo, Wakuu/Wahusika utaona kuwa memba mwenzetu amekiuka siyo miongozo ya Jamvi bali hata Sheria za Nchi kwa kusambaza Matokeo ya Taarifa zilizojaa upotoshaji na za upendeleo wa Serikali na Rais aliyoko madarakani sasa. Kimsingi tafsiri potofu ya Matokeo ya Takwimu hizo.
Nawasilisha
Je, kulingana na Ukiukwaji wa sehemu ya 26(3).C pamoja na wajibu wa Idara na kifungu cha 27(1) na 27(2).b Ofisi ya Taifa ya Takwimu ina jukumu la kulitolea tamko Uzi huo? au Litoe mwongozo?
Ni matumaini yangu mmejaa rehema na amani Asubuhi hii katika kukabiliana na majukumu yenu. Nawaombeni muda wenu mchache kutathmini Uzi huu ili kuweza kulinusuru Taifa.
Mada: Katika kile nilchokiona kamaa ni ukiukwaji wa Sheria ya Takwimu, Statistics Act (revised 2019) Sehemu ya 26(2)(3) sehemu ndogo C inayompa/enye matakwa ya kuwa msambazaji wa Takwimu kuhakikisha anatoa takwimu hizo kwa Usawa na kutopendelea katika, kuripoti, kuwakilisha, na kusambaza matokeo ya Taarifa za Takwimu.
Siku ya Jumatano tarehe 22/2/2023 mnamo saa kumi na moja Jioni jamvini, mwanahudhuri mmoja ali bandika uzi unaodai "Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu uchumi wa Tanzania. Takwimu hazidanganyi"
Katika maudhui yake ambayo inaweza kutafsiriwa kuwa ilijengwa kuchafua Serikali ya Tanzania ya Awamu ya Hayati Raisi John Pombe Magufuli ambamo amedai ushahidi wake amedadavua kutokana na Taarifa zilizochapishwa katika jarida linaloitwa Tanzania Business Insight ambayo 'ilinukuu' taarifa za Benki Kuu Tanzania(BOT) na Ofisi ya Takwimu Tanzania. NBS au National Bureau of Statistics.
Alidai, Takwimu hizo zinabainisha awamu za mwanzo za marais wa tatu kati ya 1995 mpaka 2015. Tanzania na kuonyesha Uchumi 'uliharibiwa' na Hayati Rais J.P Magufuli... kwa maoni yangu hii ni slandering!
Walakin, kwa kile alichokiita "Majigambo" ya Serikali iliyoongozwa na Hayati Raisi na kubaini yanayodhihirisha kuwa ni upotoshaji wa Umma na Wananchi wa Tanzania na Dunia kwa Ujumla kuwa Serikali ilitunga sheria za Kidikteta ambazo zilileta changamoto kwa yeyote yule anayetaka Ku Challenge Taarifa ambazo anadai(mwanahudhuri) ni za kupikwa na Uongo, kitendo ambacho nimekiona kana Upotoshaji kana hizo taarifa ambazo zilinukuliwa BOT na Ofisi ya Taifa ya Takwimu kuwa zilipikwa na za uongo na ndio kulipeleka Serikali kutunga sheria kuficha uovu.... yaani takwimu za uongo na za kupika kwa kile nilichokiona ni kuwa ni ukiukwaji wa sehemu ya 26(2)(3) sehemu ndogo C. ya Sheria ya Takwimu(2019) na kuichafua Serikali.
Wakuu/Wahusika,
Sheria ya Takwimu inatoa na kuwapa Wajibu Ofisi ya Taifa ya Takwimu Licha kuwapa majukumu mengine, pia inawapa haki ya kupinga matumizi mabaya au tafsiri potofu ya taarifa za takwimu zinazosambazwa na mtu yeyote (hapa ni mwanhudhuri mwenzetu)ikiwa maelezo hayo ya takwimu yana makosa ya msingi au hayafuati kanuni zilizoainishwa chini ya sehemu 26(3).C
Kwa hayo, Wakuu/Wahusika utaona kuwa memba mwenzetu amekiuka siyo miongozo ya Jamvi bali hata Sheria za Nchi kwa kusambaza Matokeo ya Taarifa zilizojaa upotoshaji na za upendeleo wa Serikali na Rais aliyoko madarakani sasa. Kimsingi tafsiri potofu ya Matokeo ya Takwimu hizo.
Nawasilisha
Je, kulingana na Ukiukwaji wa sehemu ya 26(3).C pamoja na wajibu wa Idara na kifungu cha 27(1) na 27(2).b Ofisi ya Taifa ya Takwimu ina jukumu la kulitolea tamko Uzi huo? au Litoe mwongozo?