Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapati,Naomba nifahamishwe Kama Kuna anayejua jibu la swali langu maana nyani jike au sokwe wapo Kama sisi.
Kwa hiyo hupatagi, si ndio?Mkuu Mimi ni mwanaume.
🤣huenda anamaanisha ndoto nyevu nazo ni Hedhi,kwa sababu mbegu zimekosa pa kwenda zinaamua kumwagikaMkuu Mimi ni mwanaume.
😂we jamaa emu kaushaKwa hiyo hupatagi, si ndio?
Kumradhi... sema wapo kama wewe !! Sisi hatumo.. samahani tena.Naomba nifahamishwe Kama Kuna anayejua jibu la swali langu maana nyani jike au sokwe wapo Kama sisi.
Kuliongezea awali lako, mm najiulizaga tofauti ya kimfumo ipoje kati ya binadamu na mammalia wenzake maana hata wanyama kama ngombe, mbwa ,paka n.k hawahitaji Pedi, !Naomba nifahamishwe Kama Kuna anayejua jibu la swali langu maana nyani jike au sokwe wapo Kama sisi.
Dear😍,nakumisiTulipokuwa tunasoma wewe ulikuwa chimbo hatuna jibu la swali lako
Miss too msaidie Mwanaume mwenzio mimi namjua huyo alikuwa chimbo shule na kuvuta bangiDear😍,nakumisi
hahaha😂,muda wangu wa kubebika huu bna,atanisameheMiss too msaidie Mwanaume mwenzio mimi namjua huyo alikuwa chimbo shule na kuvuta bangi