Je, Novena ya Mtakatifu Nyerere kuliombea taifa la Tanzania inaweza kuzaa matunda?

Je, Novena ya Mtakatifu Nyerere kuliombea taifa la Tanzania inaweza kuzaa matunda?

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
3,620
Reaction score
6,510
Sijajua mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa mtakatifu umefikia wapi ila nakumbuka moja ya kitu ambacho Kanisa Katoliki inafanya na kuchunguza kabla haijamtangaza mtu kuwa Mtakatifu ni uchunguzi wa matendo yake alipokuwa hai pamoja na miujiza iliyotokea wakati wa uhai wake na baada ya kifo.

Wengi tunajua Nyerere pamoja na mapungufu yake alikuwa na nia njema na taifa la Tanzania. Hata wale waliotofautiana naye na waliompinga kwa maamuzi na sera zake sidhani kama watabisha kuhusu hili.

Kutokana na taifa kupitia katika sintofahamu kubwa huku kukiwa na ombwe kubwa la kiuongozi, nia hii njema thabiti ya Nyerere kwa Tanzania aliyokuwa nayo alipokuwa hai inaweza kutumika katika sala ya Novena kwa taifa kupitia kwa "roho" ya Nyerere.

Kama maombi hayo yatajibiwa na miujiza kutokea, ushuhuda wa maombi hayo ndiyo unaweza kutumika kuwafanya wamtangaze Mtakatifu.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Sijajua mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa mtakatifu umefikia wapi ila nakumbuka moja ya kitu ambacho Kanisa Katoliki inafanya na kuchunguza kabla haijamtangaza mtu kuwa Mtakatifu ni uchunguzi wa matendo yake alipokuwa hai pamoja na miujiza iliyotokea baada ya kufa.

Wengi tunajua Nyerere pamoja na mapungufu yake alikuwa na nia njema na taifa la Tanzania. Hata wale wanaompinga kwa maamuzi na sera zake sidhani kama wanapinga hili.

Kutokana na taifa kupitia katika sintofahamu kubwa huku kukiwa na ombwe kubwa la kiuongozi, nia hii njema thabiti ya Nyerere kwa Tanzania aliyokuwa nayo alipokuwa hai inaweza kutumika katika sala ya Novena kwa taifa kupitia kwa "roho" ya Nyerere.

Kama maombi hayo yatajibiwa na miujiza kutokea, ushuhuda wa maombi hayo ndiyo unaweza kutumika kuwafanya wamtangaze Mtakatifu.
Kwa bahati mbaya kwetu sote (Tanzania) hili la miujiza sasa hivi hatuwezi kulisubiri hata kidogo hata kama lipo au litatokea huko mbele za safari.
Inawezekana kusemwa pia kwamba, hali inayopitiwa na taifa letu kwa sasa hivi ni ishara ya muujiza; muujiza wa majaribu makubwa katika uwezo wa taifa kuuhimili..

Lakini, pamoja na haya yote, huo utaratibu wa miujiza unaoambatana na mtu anayehusishwa, utaratibu wake ni wa miaka na miaka; siyo matukio yanayojitokeza kesho, na keshokutwa mtu anahusishwa nayo na kutangazwa mtakatifu. Labda itokee kama ya papa John Paul, ambaye utakatifu wake haukuchukua muda kutambulika.

Hata mimi mawazo yako yaliniijia akilini siku chache zilizopita; na pengine inawezekana miujiza ikatokea lakini watu wakashindwa kujuwa kuwa ni miujiza.

Mwalimu Nyerere aliipenda sana nchi hii pamoja na wananchi wake. Kama ni kweli yupo mahali anatazama na kuona mihangaiko wanayopitia waTanzania wakati huu; hali hiyo itakuwa inamsononesha sana.
 
VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu
Hii ni halali ya wananchi moja kwa moja; kama ilivyo kwa Hizo Ofisi za CCM huko mitaani.

Mimi naomba maeneo haya yapewe kipaumbele zaidi siku hiyo kuliko maeneo mengine yote.

WaTanzania wakifanikiwa kuzuia uchafuzi siku hiyo kwa kuharibu takataka zote zinazo ambatana na uchafuzi huo; hayo yatakuwa mafanikio makubwa zaidi.

Hakuna lazima ya kuhangaika na hao watumishi na wengineo isipokuwa kama wao wanaweka kizuizi kutimiza lengo la kuzuia uchafuzi.
 
Kama maombi hayo yatajibiwa na miujiza kutokea, ushuhuda wa maombi hayo ndiyo unaweza kutumika kuwafanya wamtangaze Mtakatifu.
Novena inasaliwa kwa watakatifu tuu, safari ya Nyerere kuwa Mtakatifu bado ni ndefu, saa hizi tuko kwenye mchakato wa kumtangaza mwenye heri, ndipo anaruhusiwa kusaliwa kusubiria muujiza ndipo apewe utakatifu.
P
 
Kwa bahati mbaya kwetu sote (Tanzania) hili la miujiza sasa hivi hatuwezi kulisubiri hata kidogo hata kama lipo au litatokea huko mbele za safari.
Inawezekana kusemwa pia kwamba, hali inayopitiwa na taifa letu kwa sasa hivi ni ishara ya muujiza; muujiza wa majaribu makubwa katika uwezo wa taifa kuuhimili..

Lakini, pamoja na haya yote, huo utaratibu wa miujiza unaoambatana na mtu anayehusishwa, utaratibu wake ni wa miaka na miaka; siyo matukio yanayojitokeza kesho, na keshokutwa mtu anahusishwa nayo na kutangazwa mtakatifu. Labda itokee kama ya papa John Paul, ambaye utakatifu wake haukuchukua muda kutambulika.

Hata mimi mawazo yako yaliniijia akilini siku chache zilizopita; na pengine inawezekana miujiza ikatokea lakini watu wakashindwa kujuwa kuwa ni miujiza.

Mwalimu Nyerere aliipenda sana nchi hii pamoja na wananchi wake. Kama ni kweli yupo mahali anatazama na kuona mihangaiko wanayopitia waTanzania wakati huu; hali hiyo itakuwa inamsononesha sana.
Wanasema kwa Novena, majibu yake pia hayachukui muda kwa hiyo siyo mbaya kujaribu. Ili kujua kama jambo hilo ni muujiza, nadhani ni kuombea jambo kubwa na ambalo linaonekana limeshindikana na pia kuwa "specific". Wataalamu wa theolojia wana njia zao za kupima.

Idadi ya watu watakaoleta ushuhuda italeta ishara kwamba maombi yao yalisaidia jambo hilo kutokea na huo unaweza kuwa mwanzo wa shuhuda zingine zitakazohusisha maombi kupitia kwa "Mtakatifu Nyerere".
 
Matendo ya mtu utayajuaje
Kama alikuwa anapiga nyeto, watajuaje
Kwamba huyo Nyerere ana utakatifu Gani?
 
Matendo ya mtu utayajuaje
Kama alikuwa anapiga nyeto, watajuaje
Kwamba huyo Nyerere ana utakatifu Gani?
Kuna mzee aliwahi kuniambia Kanisa Katoliki lina inteligensia kubwa sana
 
Matendo ya mtu utayajuaje
Kama alikuwa anapiga nyeto, watajuaje
Kwamba huyo Nyerere ana utakatifu Gani?
Nadhani hata wewe unayo haki yake ya kutoa ushuhuda wa hayo mabaya uliyoona akiyafanya; sina hakika kama milango imefungwa kwa mtu yeyote kufanya hivyo.

Kumbuka, katika maswala haya ya imani, hakuna 'exact science'; upimaji wa watu mbalimbali unasaidia tu katika kukisia.
Afterall, ni nani ajuae; inawezekana Mwalimu Nyerere tayari ni Mtakatifu huko aliko; au anaweza kuwa anaumizwa huko jehenam kwa matendo aliyoyafanya katika uhai wake.
Mihangaiko hii ni juu ya sisi ambao bado tupo huku hai; kukisia tu!
 
Sijajua mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa mtakatifu umefikia wapi ila nakumbuka moja ya kitu ambacho Kanisa Katoliki inafanya na kuchunguza kabla haijamtangaza mtu kuwa Mtakatifu ni uchunguzi wa matendo yake alipokuwa hai pamoja na miujiza iliyotokea baada ya kufa.

Wengi tunajua Nyerere pamoja na mapungufu yake alikuwa na nia njema na taifa la Tanzania. Hata wale wanaompinga kwa maamuzi na sera zake sidhani kama wanapinga hili.

Kutokana na taifa kupitia katika sintofahamu kubwa huku kukiwa na ombwe kubwa la kiuongozi, nia hii njema thabiti ya Nyerere kwa Tanzania aliyokuwa nayo alipokuwa hai inaweza kutumika katika sala ya Novena kwa taifa kupitia kwa "roho" ya Nyerere.

Kama maombi hayo yatajibiwa na miujiza kutokea, ushuhuda wa maombi hayo ndiyo unaweza kutumika kuwafanya wamtangaze Mtakatifu.
Taifa lahitaji kuambiwa si kuombewa. Litaombewaje kana kwamba limekufa?
 
Kuna mzee aliwahi kuniambia Kanisa Katoliki lina inteligensia kubwa sana
Huyo mzee alikuwa na elimu (ufahamu) gani wa mambo yahusuyo kanisa hilo? Wengi tunajisemea tu mambo tunayosikia au kukisia tu!
 
Huyo mzee alikuwa na elimu (ufahamu) gani wa mambo yahusuyo kanisa hilo? Wengi tunajisemea tu mambo tunayosikia au kukisia tu!
Ana ufahamu mkubwa sana. Katika hilo, naomba niishie hapo tafadhali.
 
Nadhani hata wewe unayo haki yake ya kutoa ushuhuda wa hayo mabaya uliyoona akiyafanya; sina hakika kama milango imefungwa kwa mtu yeyote kufanya hivyo.

Kumbuka, katika maswala haya ya imani, hakuna 'exact science'; upimaji wa watu mbalimbali unasaidia tu katika kukisia.
Afterall, ni nani ajuae; inawezekana Mwalimu Nyerere tayari ni Mtakatifu huko aliko; au anaweza kuwa anaumizwa huko jehenam kwa matendo aliyoyafanya katika uhai wake.
Mihangaiko hii ni juu ya sisi ambao bado tupo huku hai; kukisia tu!
Utakatifu wa mtu ni siri na hakuna mtu atajua
Matendo ya mtu na dhamira yake ni Siri
Si kila matendo mema na mabaya mtu atayafanya hadharani
 
EEeeeeenHEEeeeeeh!
Hiki kitu cha inteligensia ya Kanisa Katoliki nakisema mara ya pili humu ndani. Niliwahi kukisema mwaka 2018!
Kuna mzee aliwahi kuniambia Kanisa Katoliki lina inteligensia kubwa sana labda hata kushinda dola. Ikitokea hali yoyote ya sintofahamu huwa wanahusika kuhifadhi viongozi.
 
Taifa lahitaji kuambiwa si kuombewa. Litaombewaje kana kwamba limekufa?
Nafahamu mgonjwa mahututi naye huombewa; angalau apate ahueni; au hata kama ata'kick the bucket', aonewe huruma huko aendako.
Taifa letu nalo sasa hivi ni "gonjwa mahtuti". Kama kuna kuombewa ahueni ipatikane, basi ni bora hayo maombi yawepo.
Lakini hiyo siyo njia pekee ya kuponya "gonjwa". Sisi wengine tunaamini uponyaji wa taifa lao wanao waTanzania wenyewe. Ni swala la kuwa na ujasiri tu hiyo October 29.
 
Back
Top Bottom