Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 730
Kila nafasi ya ajira inayotangazwa mm naomba, lakini hawaniiti hata kwenye interview. Je, nina Gundu au nimerogwa au Mungu hataki niende kwenye mishahara minono?
Au jina lako linawaogopesha... kukudume kwake ni bandani na mitetea yake...Kila nafasi ya ajira inayotangazwa mm naomba,lakini hawaniiti hata kwenye inter view.je nina Gundu au nimerogwa au Mungu hataki niende kwenye mishahara minono?
Mkuu unaweza kunitumia mfano mzuri wa CV hapa ili nigeze pengine yaweza kuwa sababuAngalia CV yako vizuri boss au naomba unitumie hiyo CV kwa ushauri zaidi
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Angalau uitwe basi kidogo unakuwa na tamaa ipo siku utapata maksi nyingi na kuajiriwa lkn mm hata kuitwa siitwi kwenye usahiliMi naona bora wewe huitwi hupotezi nauli, kuna mtu anaitwa interview kila siku na hapati kazi
hamna uafadhali..Angalau uitwe basi kidogo unakuwa na tamaa ipo siku utapata maksi nyingi na kuajiriwa lkn mm hata kuitwa siitwi kwenye usahili
Jamani princess ariana heist ndio nn .natamani kujua kama nayo ni aina ya ajira ili tuwe pamojahamna uafadhali..
kama uko Free tukafanye Heist mkuu
Angalau uitwe basi kidogo unakuwa na tamaa ipo siku utapata maksi nyingi na kuajiriwa lkn mm hata kuitwa siitwi kwenye usahili
Ili niwe na bahati nifanyeje mkuu?Huna bahati
Kwa sasa ni mwaka wa 10 ninayo ajira lkn kipato hakizidi hata mili9ni moja.hivyo natafuta angalau kamshahara kafikie 3m na kuendelea.Miaka mingapi imepita hujawahi itwa kwenye interview?
Unayo kazi kwa sasa?
Au jina lako linawaogopesha... kukudume kwake ni bandani na mitetea yake...
BTW usikate tamaa. Kila jambo na wakati wake.
hamna uafadhali..
kama uko Free tukafanye Heist mkuu
hamna uafadhali..
kama uko Free tukafanye Heist mkuu
Nimekuquote mara tatu ili kuonesha msisitizo...hamna uafadhali..
kama uko Free tukafanye Heist mkuu
Twende kaziNimekuquote mara tatu ili kuonesha msisitizo...
Naomba usinisahau katika hili zoezi. Nina vibastola bandia vya kutosha na masks kibao za sura ya Osama bin Laden...
Sikusahau mkuu kuna watu inabidi tukawawekee barrier tuchukue chetu haiwezekani tunapigika tu bila 7bu wakati nguvu tunazo...Nimekuquote mara tatu ili kuonesha msisitizo...
Naomba usinisahau katika hili zoezi. Nina vibastola bandia vya kutosha na masks kibao za sura ya Osama bin Laden...
Aah ni tukio la kimkakati linalofanywa na watu waliochoka kutafuta ajira wakaamua kujitafutia kwa njia ya haraka sana.. ila You must Abandon all hope,ye who enter here.”Jamani princess ariana heist ndio nn .natamani kujua kama nayo ni aina ya ajira ili tuwe pamoja
DaaKwa sasa ni mwaka wa 10 ninayo ajira lkn kipato hakizidi hata mili9ni moja.hivyo natafuta angalau kamshahara kafikie 3m na kuendelea.