Jaman Nina wazo naomba nisikilizwe hivi ni Kwa Nini serikali isiajiri wahitimu wa vyuo vikuu kama wanavyoajiri waalimu na baadhi ya kada za afya bila kuwafanyia interview?
Namaanisha kwamba Kila mtu anaweza kufanya kazi Fulani akielekezwa au kufanyiwa training
Basi Kwa Nini serikali isifanye mchakato wa kuwapatia wahitimu wa fani tofauti tofauti training baada ya pale wakae kwenye database na nafasi zikitoka wapangiwe maeneo Yao ya kazi?
Swala la interview libaki kwenye taasisi binafsi tuu
Mimi naona swala la interview halihusiani na kazi kabisa hasa za serikalini
Mfano kama mbunge anatakiwa awe anajua kusoma na kuandika inakuaje muhitimu wa degree ashindwe majukumu ambayo ni yaleyale ya Kila siku Kwa kitengo atakacho hudumu Kwa muda wote atakaokua kazini
Nawasilisha
Namaanisha kwamba Kila mtu anaweza kufanya kazi Fulani akielekezwa au kufanyiwa training
Basi Kwa Nini serikali isifanye mchakato wa kuwapatia wahitimu wa fani tofauti tofauti training baada ya pale wakae kwenye database na nafasi zikitoka wapangiwe maeneo Yao ya kazi?
Swala la interview libaki kwenye taasisi binafsi tuu
Mimi naona swala la interview halihusiani na kazi kabisa hasa za serikalini
Mfano kama mbunge anatakiwa awe anajua kusoma na kuandika inakuaje muhitimu wa degree ashindwe majukumu ambayo ni yaleyale ya Kila siku Kwa kitengo atakacho hudumu Kwa muda wote atakaokua kazini
Nawasilisha