sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,281
- 7,953
Hujasema hatima yake ni nini mkuu?Kama mtu si mkosaji haiwezi kumuathiri
Hujasema hatima yake ni nini mkuu?Kama mtu si mkosaji haiwezi kumuathiri
Amepata mwingine anayemheshimu na kumsikiliza, baadhi ya wanawake wako hivyo.Nina mke wa ndoa ambae nina watoto nae watatu, umri wangu sasa ni miaka 32 na umri wa mke wangu ni miaka 28. Zamani nilikua na uwezo mkubwa na alinipenda sana, ila tokea pesa zimepungua ndiyo nimeona mapungufu yake, kuna kipindi alitoroka akaniachia watoto, nikapambana kumrudisha maisha yakaendelea ila sasa hivi naona tena dharau na maneno yameanza tena.
Anawadharau wazazi wangu, yeye anasikiliza sana maneno kutoka kwa mama yake, mimi hata niseme nini sisikilizwi, ila mama yake chochote anachomwambia ndiyo anakifuata.
je nini nifanyeje, nimuache aendelee na maisha yake, au nifanyeje ili akae sawa? Na je, vipi kuhusu watoto wetu watatu, mkubwa miaka 5 (Ke), wa kati ana miaka 3 (Me) na wa mwisho ana mwaka mmoja (Me)?
Una muumizaje sasaMwanamke wa namna hyo usimuache bila ya kumuumiza kifikra na kihisia
Tuiache kwenye mabano mkuuHujasema hatima yake ni nini mkuu ?
Nadhani ni kama mshangaoo!!Hahaaha
Harika mbwanya eee
Hivi maana yake ni nin
Kuna jirani yetu zamani alikua anapenda hili neno
Mshangao kwa kipare..mmHahaaha
Harika mbwanya eee
Hivi maana yake ni nin
Kuna jirani yetu zamani alikua anapenda hili neno
Unaweza ni PMTuiache kwenye mabano mkuu
Yeyote atakayefanyiwa hivyo atajengewa nuksi na hakuna atakalofanya likawa, iwe kazi, biashara au mahusiano kutegemeans na manuiziUnaweza ni PM
Akienda kwa mganga si ataona Kama ulimchezeaYeyote atakayefanyiwa hivyo atajengewa nuksi na hakuna atakalofanya likawa, iwe kazi, biashara au mahusiano kutegemeans na manuizi
Sio rahisi kabisaAkienda kwa mganga si ataona Kama ulimchezea
NtakufundishaUna muumizaje sasa
Huku au kule embu nipe somo mdadaNtakufundisha
Hapa hapaHuku au kule embu nipe somo mdada
Tatizo lako unakurupukia watu usiowafahamuTatizo lako ni kukosa uzoefu wa maisha ya ndoa!
Nipe maujuzi nakusikilizaHapa hapa
Jukumu kubwa kwa Sasa ulilonalo ni Kuwalinda hao watoto wako
Hakikisha unawapenda Sana watoto wako.
Hakikisha unamu ignore kabisa huyo mwanamke na asiwe kabisa kwenye ratiba za maisha yako.
Fanya mpango uwe na mwanamke wa pembeni ambaye ndiye atakuwa mwandani wako.
Hakikisha huongezi tena mtoto mwingine na huyo mama.
Hakikisha huteteleki kwenye kipato.
Hakikisha unafanya Maendeleo yako kimya kimya bila kumuhusisha kabisa.
Huyo tayari ameshakuwa adui yako. Tatizo kubwa tulio nalo sisi wanaume tunachukulia poa Sana mwanamke akishabadilika kwa namna hiyo.
Usichukulie poa kabisa.