Crimea Bridge
Member
- Oct 8, 2022
- 51
- 152
- Thread starter
- #81
Kuoa mwingine ndio shughuli pevu hakuna mwanamke anayependa kutawaliwa bali anapenda mtu amwambie kitu fulani ili aone kama atafanya au laah alipenda life stlye fulani sasa huna basi .
Vitimbi vimeanza ushauri huu hapa .
1.kaa naye chini mweleze kiuzuri tu ikishindikana mpeleke kwao kaelezee kwao mwambie mama yake ukweli acha kumdanya mtoto hakuna mume atakaye mwoa single mother mwambie aache utoto atulie ni mama sasa wawa toto 3. Na asiridi mpe talaka ya mwaka 1 bila matumizi yeyote mwambie mama yake ampe na umnyime kuona watoto ili aone. Umuhimu mwambie asije kwako tena wala asije ofisini kwako akitaka kitu awaambie ndugu zake na mama yake hadi pale atakapoona maisha ni magumu. Ajifikirishe kudharau wazazi wako ni kujiona mama wanya vua cheo hicho .
2.Mpeleke kwa mchungaji muelezee muombewe mweleze nikioa ningumu kuanza kitu kipya tena.
Elezea ila akiendelea unaweza kuoa tena
3. Vikao vya familia na useme namuacha naoa kipya ila usikae oa tena mmh hapana men haya maisha nu taff
Ushauri mzuri Asante




