Je, nimuache au nimvumilie?

Je, nimuache au nimvumilie?

Kuoa mwingine ndio shughuli pevu hakuna mwanamke anayependa kutawaliwa bali anapenda mtu amwambie kitu fulani ili aone kama atafanya au laah alipenda life stlye fulani sasa huna basi .
Vitimbi vimeanza ushauri huu hapa .
1.kaa naye chini mweleze kiuzuri tu ikishindikana mpeleke kwao kaelezee kwao mwambie mama yake ukweli acha kumdanya mtoto hakuna mume atakaye mwoa single mother mwambie aache utoto atulie ni mama sasa wawa toto 3. Na asiridi mpe talaka ya mwaka 1 bila matumizi yeyote mwambie mama yake ampe na umnyime kuona watoto ili aone. Umuhimu mwambie asije kwako tena wala asije ofisini kwako akitaka kitu awaambie ndugu zake na mama yake hadi pale atakapoona maisha ni magumu. Ajifikirishe kudharau wazazi wako ni kujiona mama wanya vua cheo hicho .
2.Mpeleke kwa mchungaji muelezee muombewe mweleze nikioa ningumu kuanza kitu kipya tena.
Elezea ila akiendelea unaweza kuoa tena

3. Vikao vya familia na useme namuacha naoa kipya ila usikae oa tena mmh hapana men haya maisha nu taff

Ushauri mzuri Asante
 
Mie naona hao wanoondokaga wanakuwaga na gundu! mke akikuacha utashangaa unapata mapesa km nini vile! mara umenunua mghorofa! mweee waendega tu mwaya!! likirudi sasa kimaviii hichooooo!

mie nashangaa sana me sijui mooje mutu umpe hela alafu...
 
Ushauri mbaya
Kaanga chumvi ya mawe kwenye jiko la mkaa, chombo kiwe kigae cha chungu kilivyovunjika, changanya na picha yake ya passport size,jina kwenye karatasi, changanya na pilipili manga huku ukinuizia utakayo(yasiwe mema) chumvi ikipaparika mpaka ikatulia chukua kipande cha kaniki funga hiyo mixer na uzi mwekundu kisha katupe njia panda ama chooni
Duu mkuu anatakiwa akafanyie kwao sasa akifanyia kwake mke na watoto wataona

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Boss huna kitu na ndio sababu kubwa na unajua hilo, Katafute pesa acha ujinga la sivyo wataanza kukukazia ndani ya nyumba yako
 
Huyo alipenda Pesa yako, pole sana kwa changamoto unayopitia Mungu akusaidie sana.
 
Mwonyeshe upande mwingine wa shilingi, akileta za kuja piga, chapa makofi mpaka ajue nini maana ya mume na kichwa cha familia hapo adabu itarudi. Na akiondoka kwenda kwao chukua housegirl akae na watoto wako, usimfuate one day atarudi mwenyewe
 
Ushauri mbaya
Kaanga chumvi ya mawe kwenye jiko la mkaa, chombo kiwe kigae cha chungu kilivyovunjika, changanya na picha yake ya passport size,jina kwenye karatasi, changanya na pilipili manga huku ukinuizia utakayo(yasiwe mema) chumvi ikipaparika mpaka ikatulia chukua kipande cha kaniki funga hiyo mixer na uzi mwekundu kisha katupe njia panda ama chooni
 
Naheshimu ushauri uliopewa hapo juu na wasomaji wenzangu, lkn chukua huu wa kwangu.

Kama anakudharau kwasabb umefulia, piga chini oa mwingine. Kwasabb siku ukiugua, let say ukipooza ama ukipata ajali halafu madaktari wakakukata miguu yote utatelekezwa kisha utaachwa.

BTW, kwani yeye ndiye mgawa oxygen? Au k yake Ina bando? Acha uoga mtoto wa kiume mpige chini oa mfuliaji mwenzio e.g muuza mchicha.

Kama vipi njoo unioe mm ambaye kazi yangu ni baa medi.
Ww wananzengo wanakuogopa, wanasema eti ww ni "shemale"
 
Muache huyo mke wako kwani tokea mwanzo alipenda ulichonacho na sio wewe. Asilimia 90 ya wanawake huingia kwenye ndoa / mahusiano kwa kuangalia mwanaume unacho kitu gani kwa wakati huo au uwekezaji wako wa sasa ambao utakupa mafanikio mbeleni.
 
Pole sana ndugu yangu una mapenzi ya dhati kwa mwandani wako lakini yeye ni tofauti kwako
Ushauri wangu kwako. Usimfukuze mwache ifike mahali aondoke mwenyewe.. Kila anachokufanyia simama imara na Mungu wako.. Yeye ndio ataamua huu ugomvi

Chukua muda mwingi kuwa na watoto, wajali, wapende sana hawana na hawatakuwa na baba mwingine wa damu zaidi yako! Mke akiondoka leo akaenda kuolewa kwingine huyo sio wako tena! Lakini wewe utabaki kuwa baba wa wanao mpaka kiama

Wekeza nguvu, muda na chochote ulichonacho kwao.. Wanahitaji ulinzi wako hasa katika kipindi hiki ambapo hakuna wa kumwamini hata ndugu

Simama imara na Mungu wako HATOKUACHA
Kwene haya maneno yako kuna vitu vitatu nimeviona "subira", "busara" cha tatu ni "timing" ajichafue mwenyewe na hiki ndicho ulicholenga haswaaaa kwa muomba ushauri.

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana ndugu yangu una mapenzi ya dhati kwa mwandani wako lakini yeye ni tofauti kwako
Ushauri wangu kwako. Usimfukuze mwache ifike mahali aondoke mwenyewe.. Kila anachokufanyia simama imara na Mungu wako.. Yeye ndio ataamua huu ugomvi

Chukua muda mwingi kuwa na watoto, wajali, wapende sana hawana na hawatakuwa na baba mwingine wa damu zaidi yako! Mke akiondoka leo akaenda kuolewa kwingine huyo sio wako tena! Lakini wewe utabaki kuwa baba wa wanao mpaka kiama

Wekeza nguvu, muda na chochote ulichonacho kwao.. Wanahitaji ulinzi wako hasa katika kipindi hiki ambapo hakuna wa kumwamini hata ndugu

Simama imara na Mungu wako HATOKUACHA

It’s [mention]Mshana Jr [/mention]

The boss
 
Back
Top Bottom