Je, nimuache au nimvumilie?

Je, nimuache au nimvumilie?

Wakuu mbona mnairuka point ya wife kumtoroka jamaa akapambana kumrudisha tena,mwanamke kakuacha kwann ukomae kumrudisha.

Principle ni ile ile mapenzi ya mwanamke yakiisha kwako huwa hawawez kujificha so ulishaachwa kitambo kaka kaa nae mmalizane kila mtu afanye maisha yake we komaa na wanao tu
 
Ushauri mbaya
Kaanga chumvi ya mawe kwenye jiko la mkaa, chombo kiwe kigae cha chungu kilivyovunjika, changanya na picha yake ya passport size,jina kwenye karatasi, changanya na pilipili manga huku ukinuizia utakayo(yasiwe mema) chumvi ikipaparika mpaka ikatulia chukua kipande cha kaniki funga hiyo mixer na uzi mwekundu kisha katupe njia panda ama chooni
Harikaaaa!!
Matokeo yake Nini mkuu. Atarudi na kujirekebisha au Nini kitatokea!
 
Ushauri mbaya
Kaanga chumvi ya mawe kwenye jiko la mkaa, chombo kiwe kigae cha chungu kilivyovunjika, changanya na picha yake ya passport size,jina kwenye karatasi, changanya na pilipili manga huku ukinuizia utakayo(yasiwe mema) chumvi ikipaparika mpaka ikatulia chukua kipande cha kaniki funga hiyo mixer na uzi mwekundu kisha katupe njia panda ama chooni
Duuuuh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jukumu kubwa kwa Sasa ulilonalo ni Kuwalinda hao watoto wako

Hakikisha unawapenda Sana watoto wako.
Hakikisha unamu ignore kabisa huyo mwanamke na asiwe kabisa kwenye ratiba za maisha yako.

Fanya mpango uwe na mwanamke wa pembeni ambaye ndiye atakuwa mwandani wako.

Hakikisha huongezi tena mtoto mwingine na huyo mama.

Hakikisha huteteleki kwenye kipato.

Hakikisha unafanya Maendeleo yako kimya kimya bila kumuhusisha kabisa.

Huyo tayari ameshakuwa adui yako. Tatizo kubwa tulio nalo sisi wanaume tunachukulia poa Sana mwanamke akishabadilika kwa namna hiyo.

Usichukulie poa kabisa.
Lakini pia Mungu ni WA ajabu Wanaume wengi wanauchungu na watoto kuliko waliowaweka tumboni mwao miezi Tisa hasa Karne hii. Sijui Kwa Nini. Wanawake wengi Kwa Sasa wanawapenda watoto waliopendezeshwa na baba zao au wanaume tuu. Kama baba Hana habari na mtoto mama pia anamwona kama Kero ndio.

Baba akijali sana familia mama anawaza starehe tuu na akiona pesa hazitoshi kumpa starehe anatafuta michepuko apate pesa za starehe zake baba aendelee kumhudumia watoto wake wakianza kufikia umri Fulani analeta dharau na kujenga uadui Kwa watoto. Kama hivyo anakimbia na kurudi watoto wakimuuliza anasema baba yenu ni mbaya na mkorofi ana Wanawake wengine ndio maana ananifukuza ili nyie mpate shida.

Dunia inaharibiwa na tamaa ambayo imekumba kizazi hiki.
Yote Kwa yote maisha yanakwenda kubadilika sana kutokana na taasisi ya Ndoa kukosa uelekeo na Kuna kundi kubwa linachochea uasi na usaliti kwenye ndoa badala ya uadilifu. Wanawake wamevutiwa zaidi na uasi ana unanywa na watu maarufu na waliofanikiwa Kwa kudanga.
 
Never chass her.
Usimwachie Mungu kama unavyoshauriwa, hilo suala lipo chini yako chukua hatua haraka sana. Be certified alpha male.
 
Ushauri mbaya
Kaanga chumvi ya mawe kwenye jiko la mkaa, chombo kiwe kigae cha chungu kilivyovunjika, changanya na picha yake ya passport size,jina kwenye karatasi, changanya na pilipili manga huku ukinuizia utakayo(yasiwe mema) chumvi ikipaparika mpaka ikatulia chukua kipande cha kaniki funga hiyo mixer na uzi mwekundu kisha katupe njia panda ama chooni
Hii ya chooni kila m2 atamuona ana nuka kama mavi,hatari hii ni zaidi ya TKO.
 
KWA KUWA WATU WENGI WAMECHANGIA KUTOKANA NA UZOEFU WAO NA MENGI KATI YA HAYO MAONI YETU NI TOFAUTI BASI YAFAA TUPIGIE KURA ONI AMBALO TUNAONA LINAFAA TULIPE LIKES NYINGI AMA TU I QOUTE MARA NYINGI KISHA NDUGU YETU ATUMIE HUO USHAURI.
 
… I told her mama I'm getting married, I could hear her voice
On the other side of the telephone, she was smiling
And she asked me a question that I proudly answered
She said, "Son did you take time to know her?"…
---
Did you take time to know her

Ndio nilimfahamu vizuri tu kwa zaidi ya miaka 10 sasa tokea 2012 namuona mara ya kwanza ila tu ni amebadilika sio kama alivyokuwa...
 
Wakuu mbona mnairuka point ya wife kumtoroka jamaa akapambana kumrudisha tena,mwanamke kakuacha kwann ukomae kumrudisha
Principle ni ile ile mapenzi ya mwanamke yakiisha kwako huwa hawawez kujificha so ulishaachwa kitambo kaka kaa nae mmalizane kila mtu afanye maisha yake we komaa na wanao tu

Nilimrudisha kwa sababu ya watoto.. alafu niliona wanawake wote wanafanana tu hata akija mwingine..
 
Mwanamke anayeweza kutoroka watoto wala nisingemtafuta.
 
Nina mke wa ndoa ambae nina watoto nae watatu, umri wangu sasa ni miaka 32 na umri wa mke wangu ni miaka 28. Zamani nilikua na uwezo mkubwa na alinipenda sana, ila tokea pesa zimepungua ndiyo nimeona mapungufu yake, kuna kipindi alitoroka akaniachia watoto, nikapambana kumrudisha maisha yakaendelea ila sasa hivi naona tena dharau na maneno yameanza tena.

Anawadharau wazazi wangu, yeye anasikiliza sana maneno kutoka kwa mama yake, mimi hata niseme nini sisikilizwi, ila mama yake chochote anachomwambia ndiyo anakifuata.

je nini nifanyeje, nimuache aendelee na maisha yake, au nifanyeje ili akae sawa? Na je, vipi kuhusu watoto wetu watatu, mkubwa miaka 5 (Ke), wa kati ana miaka 3 (Me) na wa mwisho ana mwaka mmoja (Me)?
When poverty enters through the door love escapes through the window
 
Wanawake ni pasua kichwa.. kilichonifanya nimrudishe ni kwa sababu ya watoto lakini pia niliona hata nikiwa na mwingine huenda na yeye huko mbeleni akabadilika ndio nikaona bora kumrudisha nilomzoea kumbe ndio ilikua nachochoea moto.. ila asanteni sana kwa maoni na ushauri..
Kama aliweza kuacha watoto wake aliowazaa
Atakuua huyo..usimnganganie
Kama anataka kuondoka mpe baraka zote.vunja ndoa legally tafuta pesa akirudi asiweze tena kuingia.
Tafuta hausg alee watoto...au mlete mama ako mtafutie na msichana wa kazi.
Nasisitiza usimnganganie atazidisha zaidi ya hapo.
Muache kama anaondoka aende tu
Ila uhitimishe legally baadae atarudi kukusumbua maana anaonkena kichwa chake hakipo sawa.
Unamuachaje mtoto wa mwaka??
Ana tatizo la akili
 
Nilimrudisha kwa sababu ya watoto.. alafu niliona wanawake wote wanafanana tu hata akija mwingine..
Sio lazima uoe...
Hao watoto tafuta mama yaki au ndugu na hausg muweke
Kama aliweza watoroka why unamuonesha umuhimu namna hiyo
 
Mkaushie aondoke tena mwenyewe akiondoka kuwa bize na mishe zako shida ilianzua alivyo ondoka ukamrudisha
 
Ushauri mbaya
Kaanga chumvi ya mawe kwenye jiko la mkaa, chombo kiwe kigae cha chungu kilivyovunjika, changanya na picha yake ya passport size,jina kwenye karatasi, changanya na pilipili manga huku ukinuizia utakayo(yasiwe mema) chumvi ikipaparika mpaka ikatulia chukua kipande cha kaniki funga hiyo mixer na uzi mwekundu kisha katupe njia panda ama chooni
Hatima yake ni ipi, kwa kuweka hii post nahisi umeshwafanya watu wengine wawe wachawi aisée , huu ushuri sio mzuri watu watatiana uchizi na kutupiana mikosi aisée
 
Hatima yake ni ipi, kwa kuweka hii post nahisi umeshwafanya watu wengine wawe wachawi aisée , huu ushuri sio mzuri watu watatiana uchizi na kutupiana mikosi aisée
Kama mtu si mkosaji haiwezi kumuathiri
 
Back
Top Bottom