Je, nimuache au nimvumilie?

Je, nimuache au nimvumilie?

Pole sana ndugu yangu una mapenzi ya dhati kwa mwandani wako lakini yeye ni tofauti kwako
Ushauri wangu kwako. Usimfukuze mwache ifike mahali aondoke mwenyewe.. Kila anachokufanyia simama imara na Mungu wako.. Yeye ndio ataamua huu ugomvi

Chukua muda mwingi kuwa na watoto, wajali, wapende sana hawana na hawatakuwa na baba mwingine wa damu zaidi yako! Mke akiondoka leo akaenda kuolewa kwingine huyo sio wako tena! Lakini wewe utabaki kuwa baba wa wanao mpaka kiama

Wekeza nguvu, muda na chochote ulichonacho kwao.. Wanahitaji ulinzi wako hasa katika kipindi hiki ambapo hakuna wa kumwamini hata ndugu

Simama imara na Mungu wako HATOKUACHA
Umetoa ushauri bora na wa kiwango .
 
Naheshimu ushauri uliopewa hapo juu na wasomaji wenzangu, lkn chukua huu wa kwangu.

Kama anakudharau kwasabb umefulia, piga chini oa mwingine. Kwasabb siku ukiugua, let say ukipooza ama ukipata ajali halafu madaktari wakakukata miguu yote utatelekezwa kisha utaachwa.

BTW, kwani yeye ndiye mgawa oxygen? Au k yake Ina bando? Acha uoga mtoto wa kiume mpige chini oa mfuliaji mwenzio e.g muuza mchicha.

Kana vipi njoo unioe mm ambaye kazi yangu ni baa medi.
Unafanya kazi bar gani? Nikutafute mrembo
 
Bila shaka atakuwa amelelewa na single mother. Narudia tena kutoa ushauri usijichanganye kuoa mwanamke aliyelelewa na single mother. Kwa.maneno mengine usioe mwanamke ambae mama yake ni single mother. Ukibisha shauri yako

Hakika hujakosea.. mama ake ni single mother
 
Mke aliyekuzwa na malezi ya upande wa mama pekee, akipata mimba na kwenye kujifungua mama yake ndiye akawa anamhudumia kwenye uzazi, jua hapo una kazi ya ziada. Japo si wote
 
Jukumu kubwa kwa Sasa ulilonalo ni Kuwalinda hao watoto wako

Hakikisha unawapenda Sana watoto wako.
Hakikisha unamu ignore kabisa huyo mwanamke na asiwe kabisa kwenye ratiba za maisha yako.

Fanya mpango uwe na mwanamke wa pembeni ambaye ndiye atakuwa mwandani wako.

Hakikisha huongezi tena mtoto mwingine na huyo mama.

Hakikisha huteteleki kwenye kipato.

Hakikisha unafanya Maendeleo yako kimya kimya bila kumuhusisha kabisa.

Huyo tayari ameshakuwa adui yako. Tatizo kubwa tulio nalo sisi wanaume tunachukulia poa Sana mwanamke akishabadilika kwa namna hiyo.

Usichukulie poa kabisa.

Ushauri mzuri.. asante
 
Kaka uyo sio wako atakuja kukuletea matatizo ww pamoja na familia yako watakuona unamatatizo wakati toto lao akili velocity inasola zero , kwa upande wangu napitia hiyo situation ila process za kupelekwa kwao zimekamilika .Baba atakama atuna pesa tunaitaji heshima apo awezi kung'ang'ania watoto coz anaona ni wengi ila angekuwa mmoja angeleta shida .
MKE SAHIHI HUTUMII NGUVU KUMUELEWESHA .
Umuhimu wa ndoa upo uzeeni ila si ujanani
 
Mkuu hapo fanya kama hauna mke ishi kama mjinga tu mwache afanye anachotaka shughulika na watoto wako tu. Lala kitanda kimoja akikupa asipokupa poa ila jitafutie kamchepuko ka uhakika maisha yataenda usitake kushindsna na mwanamke ATAKUPA msongo wa mawazo Bure hata akitaka kuondoka mwache aondoke tu ila usimpe nauli. LIPA UBAYA KWA WEMA utakuja KUNISHUKURU baadaye.
 
Nina mke wa ndoa ambae nina watoto nae watatu, umri wangu sasa ni miaka 32 na umri wa mke wangu ni miaka 28. Zamani nilikua na uwezo mkubwa na alinipenda sana, ila tokea pesa zimepungua ndiyo nimeona mapungufu yake, kuna kipindi alitoroka akaniachia watoto, nikapambana kumrudisha maisha yakaendelea ila sasa hivi naona tena dharau na maneno yameanza tena.

Anawadharau wazazi wangu, yeye anasikiliza sana maneno kutoka kwa mama yake, mimi hata niseme nini sisikilizwi, ila mama yake chochote anachomwambia ndiyo anakifuata.

je nini nifanyeje, nimuache aendelee na maisha yake, au nifanyeje ili akae sawa? Na je, vipi kuhusu watoto wetu watatu, mkubwa miaka 5 (Ke), wa kati ana miaka 3 (Me) na wa mwisho ana mwaka mmoja (Me)?
Mkuu usimfukuze hata ww fanya kitu kimoja wanawake wa namna hyo hua hawapigwi Wala hawatukanwi kwanza mama ake anaweza asiwe anamfundisha ujinga Ila yeye mwenyewe alikupenda kwa sabb ya pesa tu.......Ishi nae kama hayupo hapo ndani, fanya mambo yako kwa siri asijue chchte yani hata ajichekeleshe mbele yako ww mkazie unatakiwa kua na roho ya kiume na ngumu
Na ikiwezekana tafuta mchepuko pisi kali kinoma kusudi huyo mke wako akimuona ajione ye takataka kwa sabb tayali amekuchukulia ww mpuuzi wakati unamlisha na kumvisha
Vikao vikianza na akaanza kusema ww sijui unachepuka hapo hapo na ww ndio utapata nafasi ya kuongea na ukiingiza neno kama ww ma fulani unataka niachane na mchepuko bado badilika kama uwez ondoka nyumbani kwangu acha watoto mchepuko atakuja kuwalea ukimaliza unasema kikao kifungwe
 
Mkuu usimfukuze hata ww fanya kitu kimoja wanawake wa namna hyo hua hawapigwi Wala hawatukanwi kwanza mama ake anaweza asiwe anamfundisha ujinga Ila yeye mwenyewe alikupenda kwa sabb ya pesa tu.......Ishi nae kama hayupo hapo ndani, fanya mambo yako kwa siri asijue chchte yani hata ajichekeleshe mbele yako ww mkazie unatakiwa kua na roho ya kiume na ngumu
Na ikiwezekana tafuta mchepuko pisi kali kinoma kusudi huyo mke wako akimuona ajione ye takataka kwa sabb tayali amekuchukulia ww mpuuzi wakati unamlisha na kumvisha
Vikao vikianza na akaanza kusema ww sijui unachepuka hapo hapo na ww ndio utapata nafasi ya kuongea na ukiingiza neno kama ww ma fulani unataka niachane na mchepuko bado badilika kama uwez ondoka nyumbani kwangu acha watoto mchepuko atakuja kuwalea ukimaliza unasema kikao kifungwe
Dhumuni la kwanza ukiwaoa wanataka kula vya mume mwanzo mwisho mti ukikauka dharau nyingi napiga chini
 
We bwana em toa ushauri wa kisomi. Uchawi huo sio mzuri bhn. Ifute tu hii Boss Kubwa. Utawafanya wengi wakafanye jambo hili ambalo ni Shirki alafu wasijue hatima yake inakuwaje
Dunia ina pande mbili nami nimetoa ushauri wa pande mbili
Nilianza na huu mzuri

Pole sana ndugu yangu una mapenzi ya dhati kwa mwandani wako lakini yeye ni tofauti kwako
Ushauri wangu kwako. Usimfukuze mwache ifike mahali aondoke mwenyewe.. Kila anachokufanyia simama imara na Mungu wako.. Yeye ndio ataamua huu ugomvi

Chukua muda mwingi kuwa na watoto, wajali, wapende sana hawana na hawatakuwa na baba mwingine wa damu zaidi yako! Mke akiondoka leo akaenda kuolewa kwingine huyo sio wako tena! Lakini wewe utabaki kuwa baba wa wanao mpaka kiama

Wekeza nguvu, muda na chochote ulichonacho kwao.. Wanahitaji ulinzi wako hasa katika kipindi hiki ambapo hakuna wa kumwamini hata ndugu

Simama imara na Mungu wako HATOKUACHA
 
… I told her mama I'm getting married, I could hear her voice
On the other side of the telephone, she was smiling
And she asked me a question that I proudly answered
She said, "Son did you take time to know her?"…
---
Did you take time to know her
 
… I told her mama I'm getting married, I could hear her voice
On the other side of the telephone, she was smiling
And she asked me a question that I proudly answered
She said, "Son did you take time to know her?"…
---
Did you take time to know her
Kwasababu sio rahisi kihivyo...
 
Back
Top Bottom