Blandes
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 401
- 228
Nimedumu na mwanamke kwa miaka 8 katika mahusiano, najisifia sababu nimembadili tabia zake ambazo zilikuwa sio nzuri mfano kunywa pombe.
Lakini kwa sasa kaanza kuniambia kwanini sitaki kumpatia hela, alafu kaanza umalaya wa chini kwa chini, message za mapenzi nimezidaka na nimeamua kumwambia kila mtu achukue time yake, ila kwa sasa naona kama roho inauma cause bado nampenda ila naogopa ukimwi, nifanyeje?
Ushauri tafadhali.
Lakini kwa sasa kaanza kuniambia kwanini sitaki kumpatia hela, alafu kaanza umalaya wa chini kwa chini, message za mapenzi nimezidaka na nimeamua kumwambia kila mtu achukue time yake, ila kwa sasa naona kama roho inauma cause bado nampenda ila naogopa ukimwi, nifanyeje?
Ushauri tafadhali.