Mrudie akupe ngoma!Tabia ambayo mwanaume hawezi kuivumilia kwa mkewe ni umalaya tu aka kuchepuka, vingine vyote unaweza kuvumilia
...ila kwa sasa naona kama roho inauma cause bado nampenda ila naogopa ukimwi nifanyeje.
tumia condom tu l... miaka nane mlikuwa mmezoeana tu
Unaziamini ndom?
Shake well b4 use pia alikua anamchunguza miaka 8 michache wa2 tunatest toka 2005 mpka leo
mihula miwili ya uraisi aiseee nishasepa
Mangi kila ki2 unapata na maisha tambarare ndoa ni karatasi 2 istoshe unaweza ukawa umekopwa na unaishi kwa furaha,yule mwenye cheti full sarakasi hajui ya kesho
ni kweli aisee ila sasa maswala ya kuwekana miaka kumi upo tu nabanjuka tuu labda kama kuna something else
Hahahaaa mkopaji huwa mstarabu mana anamarejesho lazma ahudumie kwa sana cku akiona kuna umuhimu wa karatasi mnajongea kanisani au msikitini,ndoa nyingi za sasa full sarakasi wa2 wamekurupuana 2 kila cku vurugu
Ha ha ha lazima ajue anataka nini ? Kama hajui atumie condom .. Kuna mambo ya kuomba ushauri bana demu akianza dharau jua kapata wa kumuheshimu chapa lapa au tumia condom
apo nimekuelewa so itabidi ujikondomize ukijua huna chako lakini miss
ndiyo maana mimi naogopa huko ndoani aisee
hapa sijakusoma mpenziNa tabia ambayo mwanamke hawezi kuvumilia kwa mwanaume ni kupotezewa muda.