Je, nianzie wapi kufikia lengo langu?

Je, nianzie wapi kufikia lengo langu?

Anza na usajili wa biashara. Hakikisha kampuni au brand yako imesajiliwa kupitia Business Registrations and Licensing Agency (BRELA). Hii ni foundation—bila hapo huwezi kuendelea vizuri na mamlaka nyingine.
Baada ya hapo, nenda TBS. Hawa ndio wanahakikisha bidhaa yako inakidhi viwango (quality & safety). Utatakiwa:
Kupeleka sample ya kinywajiKufanya vipimo (lab tests)Kupata TBS certification mark
Hii ni muhimu sana hasa kwa kinywaji kinachoingia sokoni. ila ukitaka kupita shortcut inawezekana japo ni RISK sana inategema zaidi na mkoa uliopo. kwa dsm unaweza piga hata miezi mwaka ndio ukaja kushtukiwa
 
Anza na: 1. Eneo la kufanyia uzalishaji 2. TIN 3. Brela- Jina la biashara 4. TBS- (usajili wa product)-https://oas.tbs.go.tz/ 5. Tausi -leseni 6. TRA- kodi
 
Back
Top Bottom