Rominno
Member
- Mar 7, 2026
- 7
- 18
Wakuu habari, natumai mko poa kabisa.
Ninaomba ushauri kwakuwa kidogo kwa sheria zetu za Tz zinachanganya sana.
Kuna bidhaa fulani ni kinywaji nataka ni ki introduce ila sio luxury ni functional drink.
Kwakuwa ndio niko kwenye starting point, vipi nianzie wapi? Maana kuna hizi mamlka
TMDA, TBSA, mara TRA kidogo vinanichanganya.
Naombeni muongozo wakuu.
Ninaomba ushauri kwakuwa kidogo kwa sheria zetu za Tz zinachanganya sana.
Kuna bidhaa fulani ni kinywaji nataka ni ki introduce ila sio luxury ni functional drink.
Kwakuwa ndio niko kwenye starting point, vipi nianzie wapi? Maana kuna hizi mamlka
TMDA, TBSA, mara TRA kidogo vinanichanganya.
Naombeni muongozo wakuu.