watu wengi hawana hoja mkuu!Kwani ukiwa na mtoto ndio lazima akusaidie wakati wa uzee ?
Kwani braza hadi sasa hivi huna mtoto?Fact ... Wengi wanazaa kwa sababu ya kuepuka pressure ya jamii.. Wanaogopa kupachikwa majina kuwa ni wagumba
Mimi mwenyewe binafsi sipendi kuwa na watoto na kama nitakuwa nao basi awe mmoja tu "
Tatizo huna ushahidi unaandika kama unawasimulia watu hadithi za "Ethopo" au "Pamela na kipini" au "Awafu mwenye nguvu" na mfano wa hadithi za kubuni.Soma Kitabu unachokiamini, kama ni Biblia soma Mwanzo sura ya 2,3.
msome Ayubu, msome mhubiri, soma maombolezo. Ukifa umekufa. Mengine ni kufarijiana.
Shetani alidanganya ukila tunda hamtakufa, alipoona tunakufa sasa anadanganya watu kuna kufufuliwa. Hahahaha!
Mungu hana muda na wanadamu tena Mkuu. Alishamaliza kazi.
Wanadamu wanachohangaika sasa hivi ni kupambana na kukidhibiti kifo. Wajinga wanasubiria kufufuliwa. Hahahaha!
Nikuambie tuu kifo kitadhibitiwa na sisi wenyewe wala hatakuja mtu kutufufua.
Usiponielewa basi Mkuu
Jurjani Jokajeusi mumeona point hiiKuzaa au kuzalisha ni jambo ambalo hata kichaa anaweza kulifanya maana ni sex tu inahitajika lakini hiyo haimaanishi ana uwezo wa kuwa mzazi.
Kuzaa ni jambo halichukui mwaka kukamilika ila jukumu la mzazi ni kujenga au kuharibu msingi wa maisha ya mtoto. Ni jukumu la kumsimamia mtu hadi pumzi yako ya mwisho.
Kuzaa na kulea ni zaidi ya kutumia maumbile yako uliyojaaliwa . Its more than that
Point iko wapi hapo, labda unifafanulie alichoandika.
Teh kwa taarifa yako sababu ya watu kufuata maagizo ya Mungu ni kutaka kuenda mbinguni na siyo motoni!Wapi Mungu alisema utaenda Mbinguni?
Mwanadamu aliumbwa Ili aishi duniani. Dunia ndio kwetu, hizo zingine porojo.
Kumbe uoga wa watu wajinga ni kwa sababu ya kwenda mbinguni Dooh! Wewe badala uwe muoga kwa kutofuata maagizo ya Mungu unakuwa muoga wa matokeo. Huna ulichoepuka hapo.
HayaNimejibu maoni niliyoya-quotes, huoni nilichoulizwa?
Huyo anasahau ya kuwa wingi una jinsia ya KIKE.Kwa hiyo China na India ndio nchi zenye nguvu kuliko zote duniani ? Maana hizo ndio zenye population kubwa ? Vp kuhusu USA na nchi za Ulaya ambazo zina watu wachache kuliko hizo ?
Hii nimeikuta kwenye mahojiano sehemu kwenye blog moja, mdada mmoja mrembo tu umri 32yrs yeye anadai hataki mtoto kwa vyovyote vile.
Kaenda mbali sana hadi kuwa na watoto sio garantii ya wao kukusadia uzeeni, uzeeni unatakiwa ujiandalie mwenyewe sio kuwatwisha watoto burden.
Cha ajabu kwenye comment section ya hiyo video, wadada wengi nimeona wana-share the same view.
Hii mwaionaje wakuu? Huko tunaelekea ni salama kweli?
Huwezi kutenganisha kuzaa na kulea maana kitu kinachomfanya mtu mara nyingi asizae ni kutokuona kama anaweza kuweka commitment katika malezi ya mtoto. Kutokujiona kama life lake linahitaji mtu mwingine wa kumtegemea na ndio maana wanaume wengi wanakataa mimba si kwa sababu hawapendi watoto ila wanajua uzito wa jukumu la kuwa baba.Upo sahihi, lakini mada imejikita kwenye kuzaa. Na ndio maana nami najikita humo humo. Haimaanishi sijui kunakulea.
Tuna sadiki kuwa yesu hakuzaa ... Unalizungumziaje hilo " je yesu ni punguwani " ?? Wewe na yesu ni nani ambaye ni punguwani ??
Usisahau kuna makabila wanazaa watoto wengi ili wapate nguvu kazi ya kulima na kuchunga ng'ombe. Wengine ni ufahari na wengine ndio kama hivyo kupata msaada pale unapozeeka ama kupata matatizo yatakayohitaji watu wa karibu sana..Watu wa Africa wanaona ni lazima kuwa na watoto ili watakapo zeeka watoto hao waje kuwasaidia .. Yaani kuna watu wanawaona watoto wao kuwa ni mifuko ya pension kama ilivyo NHIF.. so ukiwaambia kuwa kuna watu hawapendi kuwa na watoto wanaona maajabu kabisa .. Kwa sababu wameshazoea kuwageuza watoto zao chuma ulete
Kuna wanandoa walikuwa wanahojiwa bbc ni wakenya wakasema wakiwa wachumba walikubaliana kutozaa kabisa uamuzi huu waliwaeleza na wazazi wao japo ilikuwa ngumu kwa ndugu kukubaliana nao lkn ilibidi kwakuwa wao waliamua iwe hivyo.Mkuu huyo dada kaolewa kwanza, tuanzie hapo
Teh kwanini hutaki offspring mzee baba?Niko hapa sihitaji offspring ya aina yeyote hile na sio kama siwezi zalisha naweza pamoja na kukuza