kizito2009
Senior Member
- Jan 6, 2010
- 172
- 223
Habari wadau;
Binafsi huwa napenda kufikiri nje ya Box.Gharama na muda wanaotumia Utumishi katika kuwaita watu kwa mitihani kusahihisha n.k.unaweza kusahihishwa kwa kuleta mfumo wa Aptitude test ambayo inafanyika online.Yaani baada ya kuomba nafasi,muombaji atafanya timed tests online kwa ajili ya mchujo.
Hii itaondoa usumbufu wa kuita watu 1000 kwa ajili ya nafasi moja.Na pia itasaidia sana kuwapima watahiniwa mara nyingi ili kupata watumishi wa umma ambao waanendana na kasi ya sasa.
Nawakilisha
Binafsi huwa napenda kufikiri nje ya Box.Gharama na muda wanaotumia Utumishi katika kuwaita watu kwa mitihani kusahihisha n.k.unaweza kusahihishwa kwa kuleta mfumo wa Aptitude test ambayo inafanyika online.Yaani baada ya kuomba nafasi,muombaji atafanya timed tests online kwa ajili ya mchujo.
Hii itaondoa usumbufu wa kuita watu 1000 kwa ajili ya nafasi moja.Na pia itasaidia sana kuwapima watahiniwa mara nyingi ili kupata watumishi wa umma ambao waanendana na kasi ya sasa.
Nawakilisha