kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
mimi nadhani haya ni mambo ya msingi sana, ila issue ya kipato sidhani kama ni sahihi sana katika hatua za mwanzo maaa uchumba unaweza kuvunjika na kama umeshaji anika sana inakuwa sio nzuri sana.
kwa mtazamo wangu namba 2 na 3 ni sahihi ila namba 1 no katika hii stage ili kama anaingia kwenye ndoa asiwe na picha ya mahela bali mapenzi
ninavyoona mimi
Siku zote kama umeamua kuoa au kuolewa maana yake kifo ndio kitawatenganisha, kwa nini mnapooa au kuolewa mnafikiria mkiachana itakuaje? hiyo siyo maana ya ndoa, tupilia mbali mawazo hayo na mtaishi. (ni mtazamo wangu tu kwa wenye mapenzi ya dhati kwa wenza wao)