Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,672
- 3,714
Unaona ulivyo bungo hapo usichokielewa ni nini ? Nimetumia tu hiyo milion tano kama mfano...nilichokataka kukueleza ni kuwa hao wamesomea nadharia tu ila akija kwenye vitendo ni weupe tu au umeshasahau kisa cha dr rajabu rutengwe ambae alikuwa analia kuwa ataishije mtaani mara baada ya kutumbuliwa? Sasa watu kama sisi hata tukipoteza kila kitu ndani ya miaka miwili tunarudi kwenye ramani kwasababu nina akili nyingi kwenye ujasiriamali kuliko hao wazee wa kukaririWee Ni mjing Sana inaonesha hyo milion tano kwa professor associated anakunja ndani ya weeki moj kwa paper moja tu ya research achalia mbali consultant