johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Nawauliza watu wa itifaki kama ni halali kwa kipindi hiki cha mpito kumtambulisha Waziri mkuu wa awamu ya 5 Mh Kassim Majaliwa kama Waziri Mkuu Mstaafu.
Naomba majibu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Naomba majibu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!