Je, ni sahihi kumtambulisha Kassim Majaliwa kuwa ni Waziri Mkuu Mstaafu?

EL nadhani atabaki kwenye historia kama PM aliejiuzuru kwa scandal;

John Malecela atabaki kama PM alietimliwa na mzee Ruksa 1994 na Msuya kumalizia ungwe ya pili ya mzee Ruksa 1994-95.

Bila shaka kama atakosa uteuzi toka kwa muajiri wake ambae ni Rais wa JMT, bila shaka ataingia kwenye record ya kutumika miaka mitano kama Joseph Sinde Warioba 1985-90.

Ikitokea akateuliwa tena na kuthibitishwa na Bunge, ataingia kwenye record kama ya Sumaye kuwa PM back to back au Mizengo Pinda aliemalizia awamu ya kwanza ya JK na kuaminiwa kwa awamu ya pili.

Kila la kheri wale wote wenye bahati ya kuchagiliwa kuwa wabunge.maana wana equal chance ya kuteuliwa. PM Majaliwa ana chance kubwa kwa uchapa kazi wake kwenye awamu ya kwanza ya Rais wa JMT.
Sasa hivi wizara zote ziko chini ya makaritibu wakuu.Magari yote yamesharudishwa parking pamoja na nyumba za serikali.

Siasa ni ajira ngumu aisee.sababu hakuna waziri aliyemaliza muda wake mwenye uhakika wa kurudi ofisini tena kwa 100%.Ijapo wengine wana asilimia kubwa mfano Kabudi.
 
Mi naona kampa chepuo kwa awamu nyingine
Yaani katika mawaziri wenye uwezekano mkubwa kurudi ni pamoja na huyu Kassim
Hapo mzee baba karusha jiwe gizani na anataka kuwapimia watu watasemaje kwanza kabla ya yeye kujishauri kumfanyia uteuzi
 
Mi naona kampa chepuo kwa awamu nyingine
Yaani katika mawaziri wenye uwezekano mkubwa kurudi ni pamoja na huyu kasim
Hapo mzee baba karusha jiwe gizani na anataka kuwapimia watu watasemaje kwanza kabla ya yeye kujishauri kumfanyia uteuzi
Aliyetambulisha ni mh Msigwa!
 
Nawauliza watu wa itifaki kama ni halali kwa kipindi hiki cha mpito kumtambulisha Waziri mkuu wa awamu ya 5 Mh Kassim Majaliwa kama Waziri Mkuu Mstaafu.

Naomba majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Nafikili Mambo haya tuwaachie wenyewe, hebu tuhumize vichwa na mambo yetu ,vinginevyo tutapata stress bure, mkuu
Hacha wafanye kile wakionacho ni sawa, au sio sawa,
 
Kwa ujumla hauna Waziri Mkuu mstaafu Tanzania. Hakuna Waziri yeyote aliyeondoka madarakani kwa kustaafu Bali waliondoka kwa muda wao kuisha. Kwa kingereza they are former Prime Minister and not Retired PMs.
Kwani Retirement in Swahili ni nini kamanda wangu wa 95 KJ?!!
 
Nafikiri wangetumia neno Waziri mkuu aliyemaliza muda wake.

Kwa mtazamo wangu kustaafu ni kufikia tamati ya jambo na hauendelei nalo tena.

Mtu alistaafu soka, anachana kabisa na mashindano ya kabumbu, harudi tena.

Au unamaoni gani bwashee johnthebaptist ?
 
Nawauliza watu wa itifaki kama ni halali kwa kipindi hiki cha mpito kumtambulisha Waziri mkuu wa awamu ya 5 Mh Kassim Majaliwa kama Waziri Mkuu Mstaafu.

Naomba majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Mstaafu aliyestaafu leo asubuhi maana hadi jana media ziliripoti Waziri Mkuu akagua kiwanja kitakachotumika kumuapishia Rais mteule ndugu Magu
 
Sasa hivi wizara zote ziko chini ya makaritibu wakuu.Magari yote yamesharudishwa parking pamoja na nyumba za serikali.

siasa ni ajira ngumu aisee.sababu hakuna waziri aliyemaliza muda wake mwenye uhakika wa kurudi ofisini tena kwa 100%.Ijapo wengine wana asilimia kubwa mfano Kabudi
Ndalichangu
 
EL nadhani atabaki kwenye historia kama PM aliejiuzuru kwa scandal;

John Malecela atabaki kama PM alietimliwa na mzee Ruksa 1994 na Msuya kumalizia ungwe ya pili ya mzee Ruksa 1994-95.

Bila shaka kama atakosa uteuzi toka kwa muajiri wake ambae ni Rais wa JMT, bila shaka ataingia kwenye record ya kutumika miaka mitano kama Joseph Sinde Warioba 1985-90.

Ikitokea akateuliwa tena na kuthibitishwa na Bunge, ataingia kwenye record kama ya Sumaye kuwa PM back to back au Mizengo Pinda aliemalizia awamu ya kwanza ya JK na kuaminiwa kwa awamu ya pili.

Kila la kheri wale wote wenye bahati ya kuchagiliwa kuwa wabunge.maana wana equal chance ya kuteuliwa. PM Majaliwa ana chance kubwa kwa uchapa kazi wake kwenye awamu ya kwanza ya Rais wa JMT.
Yani uongozi wote unarudi vile vile kila mhimili na waziri mkuu ni yule yule ndiyo maana hata mtaani ni kama hakuna mapya yanayoongelewa.

Hongera wamarekani. Sisi tumeamua kuvuka na janga letu kwa miaka mingine mitano.
 
Yani uongozi wote unarudi vile vile kila mhimili na waziri mkuu ni yule yule ndiyo maana hata mtaani ni kama hakuna mapya yanayoongelewa.

Hongera wamarekani. Sisi tumeamua kuvuka na janga letu kwa miaka mingine mitano.
Nyie mlishindwa kuiba kura kama wapinzani wenxenu wa kwa Trump?
 
Back
Top Bottom