Je, ni sahihi kumtambulisha Kassim Majaliwa kuwa ni Waziri Mkuu Mstaafu?

EL nadhani atabaki kwenye historia kama PM aliejiuzuru kwa scandal;

John Malecela atabaki kama PM alietimliwa na mzee Ruksa 1994 na Msuya kumalizia ungwe ya pili ya mzee Ruksa 1994-95.

Bila shaka kama atakosa uteuzi toka kwa muajiri wake ambae ni Rais wa JMT, bila shaka ataingia kwenye record ya kutumika miaka mitano kama Joseph Sinde Warioba 1985-90.

Ikitokea akateuliwa tena na kuthibitishwa na Bunge, ataingia kwenye record kama ya Sumaye kuwa PM back to back au Mizengo Pinda aliemalizia awamu ya kwanza ya JK na kuaminiwa kwa awamu ya pili.

Kila la kheri wale wote wenye bahati ya kuchagiliwa kuwa wabunge.maana wana equal chance ya kuteuliwa. PM Majaliwa ana chance kubwa kwa uchapa kazi wake kwenye awamu ya kwanza ya Rais wa JMT.
 
EL nadhani atabaki kwenye historia kama PM aliejiuzuru kwa scandal;

John Malecela atabaki kama PM alietimliwa na mzee Ruksa 1994 na Msuya kumalizia ungwe ya pili ya mzee Ruksa 1994-95.

Bila shaka kama atakosa uteuzi toka kwa muajiri wake ambae ni Rais wa JMT, bila shaka ataingia kwenye record ya kutumika miaka mitano kama Joseph Sinde Warioba 1985-90.

Ikitokea akateuliwa tena na kuthibitishwa na Bunge, ataingia kwenye record kama ya Sumaye kuwa PM back to back au Mizengo Pinda aliemalizia awamu ya kwanza ya JK na kuaminiwa kwa awamu ya pili.

Kila la kheri wale wote wenye bahati ya kuchagiliwa kuwa wabunge.maana wana equal chance ya kuteuliwa. PM Majaliwa ana chance kubwa kwa uchapa kazi wake kwenye awamu ya kwanza ya Rais wa JMT.
Kwa hiyo Majaliwa hajastaafu uwaziri mkuu!
 
Rais anapokula kiapo , kwa mda huo nchi inakuwa haina Rais, na hapo hapo mawaziri wote akiwemo waziri mkuu -wanakoma .

Sasa hivi hakuna baraza na mawaziri. Utendaji wa serikali unaratibiwa na Katibu Mkuu kiongozi hadi hapo baraza jipya litakapo tangazwa.
Nawauliza watu wa itifaki kama ni halali kwa kipindi hiki cha mpito kumtambulisha Waziri mkuu wa awamu ya 5 Mh Kassim Majaliwa kama Waziri Mkuu Mstaafu.

Naomba majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
 
Rais anapokula kiapo , kwa mda huo nchi inakuwa haina Rais, na hapo hapo mawaziri wote akiwemo waziri mkuu -wanakoma .

Sasa hivi hakuna baraza na mawaziri. Utendaji wa serikali unaratibiwa na Katibu Mkuu kiongozi hadi hapo baraza jipya litakapo tangazwa.
Kwahiyo mawaziri wote wamestaafu?
 
Nawauliza watu wa itifaki kama ni halali kwa kipindi hiki cha mpito kumtambulisha Waziri mkuu wa awamu ya 5 Mh Kassim Majaliwa kama Waziri Mkuu Mstaafu.

Naomba majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa ujumla hauna Waziri Mkuu mstaafu Tanzania. Hakuna Waziri yeyote aliyeondoka madarakani kwa kustaafu Bali waliondoka kwa muda wao kuisha. Kwa kingereza they are former Prime Minister and not Retired PMs.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom