DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 1,486
- 2,739
Nimekuwa nikiona mara Nyingi watu huandaa matukio ya kuchangia watoto wanaoishi katika mazingira magumu,yatima,Wafungwa ma wagonjwa kisha kushirikisha ndugu au watu wengine kuchangia.
Yaani unajikuta tu upo kwenye Kundi la Whatsap na kisha unaombwa kutoa ahadi yako kwa ajili ya tukio Husika.
Ni jambo jema Kuchangia na kuwasaidia watu katika amkundi hayo yaliyotajwa, Lakini Je ni sahihi kuomba mchango wa kwenda kusaidia hao watu?
Mim kwa upande wangu sio sahihi nafikiri jambo Jema ni kuchukua kila chako ulicho nacho na familia yako itakuwa jambo jema Zaidi.
Kuliko Kushirikisha watu wengine wakati hayo ni maono yako na sadaka yako Binafsi, Mimi wakati mwingine nafikiri kuna aina Fulani ya upigaji wa hayo matukio.
Siku hizi kuna hadi harambee zinaandaliwa kwa ajili ya kuchangia wagonjwa mfano wenye matatizo ya Kansa. Wenye matatizo ya Usikivu, watoto wenye matatizo ya Moyo N.K linaandaliwa tukio kIsha munaalikwa na kutakiwa kutoa ahadi zenu kubwa kubwa ama Fedha taslimu na wakati mwingine mgeni Rasmi anakuwa ni Kiongozi wa Serikali.
Napenda kuchangia ila kwa Kusukumwa ndani yangu binafsi ila sio kulazimishwa, hadi nafikiri kuna kaharufu ka upigaji.
Yaani unajikuta tu upo kwenye Kundi la Whatsap na kisha unaombwa kutoa ahadi yako kwa ajili ya tukio Husika.
Ni jambo jema Kuchangia na kuwasaidia watu katika amkundi hayo yaliyotajwa, Lakini Je ni sahihi kuomba mchango wa kwenda kusaidia hao watu?
Mim kwa upande wangu sio sahihi nafikiri jambo Jema ni kuchukua kila chako ulicho nacho na familia yako itakuwa jambo jema Zaidi.
Kuliko Kushirikisha watu wengine wakati hayo ni maono yako na sadaka yako Binafsi, Mimi wakati mwingine nafikiri kuna aina Fulani ya upigaji wa hayo matukio.
Siku hizi kuna hadi harambee zinaandaliwa kwa ajili ya kuchangia wagonjwa mfano wenye matatizo ya Kansa. Wenye matatizo ya Usikivu, watoto wenye matatizo ya Moyo N.K linaandaliwa tukio kIsha munaalikwa na kutakiwa kutoa ahadi zenu kubwa kubwa ama Fedha taslimu na wakati mwingine mgeni Rasmi anakuwa ni Kiongozi wa Serikali.
Napenda kuchangia ila kwa Kusukumwa ndani yangu binafsi ila sio kulazimishwa, hadi nafikiri kuna kaharufu ka upigaji.