Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
- Thread starter
- #61
mkuu kiingereza ni lugha kama kiswahili kwa hiyo kiingereza sio kitu bali ni uwezo wa kuchanganua mambo angalia china hawaongei kiingereza urusi ujerumani italy frace wote hawaongei kiingereza so kiingereza sio kitu kikubwa tusiwe na mawazo ya ukoloni wa kudhamini cha nje kuliko cha ndani ndo nyie mnaona mtumba ni bora kuliko nguo mpya kisa kavaa mzunguoky kumbe wewe ni ccm, pole sana hata nilikuwa sijui hilo, kwanza kamufundise baba yako jiwe jinsi ya kuongea english pls