Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,126
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.