Serendipity
JF-Expert Member
- Jan 24, 2009
- 486
- 43
Ndugu wana JF, Naomba kuelimishwa!
Tanzania, wataalamu wengi waliosomea maswala ya engineering wanapenda kujitambulisha kwa initiala za Eng. someboby (eg Eng Wande and so on).
Je huu ni utaratibu unaojulikana sehemu nyingine duniani? (je in developed world ulishasikia kitu kama hiki?)
Kwanini wasitumie initial za Mr.?
Tanzania, wataalamu wengi waliosomea maswala ya engineering wanapenda kujitambulisha kwa initiala za Eng. someboby (eg Eng Wande and so on).
Je huu ni utaratibu unaojulikana sehemu nyingine duniani? (je in developed world ulishasikia kitu kama hiki?)
Kwanini wasitumie initial za Mr.?