Je, ni kweli wanawake hawapendani?

Ndonoman

Member
Feb 21, 2024
9
24
Tangu ninakua nimekuwa nikisikia kauli za wanawake hawapendani, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, je, ni kweli wanawake hawapendani au ni nadharia tu ilitengenezwa kuwagawa wanawake wasiaminiane kuwa hakuna anayempenda mwingine?

Nauliza hivi kwa kuwa msemo huo umekuwa ukisikika zaidi kusemwa na sisi wanaume japo wapo na wanawake wamekuwa wakisema ila huwa inatokea pale wanapokwazana kitu ambacho napata mashaka kwa kuwa kukwazana hutokea pande zote, kwa nini ihusishwe na wao kutokupendana?

Je, kisaikolojia ni kweli hawapendani? Jamiicheck naombeni mtusaidie katika hili, ukweli ni upi?
 
In short wanaoneana wivu wa kijinga tu.

Ndo maana ugomvi wao huwa kwenye kugombania waume za watu na drama za umbea basi.

Ila sisi wanaume tunagombana na kuchukiana kwenye kutafuta hela au rizki
Ndo maana wanaume tunaanzisha vita
Tunaanzisha makampuni
Tunagombania madaraka
Tunatafuta mafanikio kwa mbinde sana.

Ila hao wenzetu wapo kwenye kugombania mijegeje ya wanaume wenye hela 😶‍🌫️😎
 
Tangu ninakua nimekuwa nikisikia kauli za wanawake hawapendani, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, je, ni kweli wanawake hawapendani au ni nadharia tu ilitengenezwa kuwagawa wanawake wasiaminiane kuwa hakuna anayempenda mwingine?

Nauliza hivi kwa kuwa msemo huo umekuwa ukisikika zaidi kusemwa na sisi wanaume japo wapo na wanawake wamekuwa wakisema ila huwa inatokea pale wanapokwazana kitu ambacho napata mashaka kwa kuwa kukwazana hutokea pande zote, kwa nini ihusishwe na wao kutokupendana?

Je, kisaikolojia ni kweli hawapendani? Jamiicheck naombeni mtusaidie katika hili, ukweli ni upi?
Ni Nature. Hebu fikiri hapa hawapendani lakini angalia vile wanafanyia Wanaume
Je wangependana Wakaelewana ,Wakapanga mambo yao pamoja ingekuwaje?
 
Tangu ninakua nimekuwa nikisikia kauli za wanawake hawapendani, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, je, ni kweli wanawake hawapendani au ni nadharia tu ilitengenezwa kuwagawa wanawake wasiaminiane kuwa hakuna anayempenda mwingine?

Nauliza hivi kwa kuwa msemo huo umekuwa ukisikika zaidi kusemwa na sisi wanaume japo wapo na wanawake wamekuwa wakisema ila huwa inatokea pale wanapokwazana kitu ambacho napata mashaka kwa kuwa kukwazana hutokea pande zote, kwa nini ihusishwe na wao kutokupendana?

Je, kisaikolojia ni kweli hawapendani? Jamiicheck naombeni mtusaidie katika hili, ukweli ni upi?
Fikra za watu tu.Ni asili ya binadamu kujipenda mwenyewe na kuwa mbinafsi na mchoyo.Selfcenteredness is an in-born character ya binadamu.Hata wanaume huwa hawapendi kutoa sifa na kumtukuza harakaharaka mwanaume mwenzao kama ilivyo kwa wanawake.Sasa,huko hutafsiriwa kama chuki/kutopendana.Haiwezekani watu wachukiane tu bila sababu. Na wala haiwezekani ukaambiwa tu mpende yule au mchukie huyu ili umfurahishe mtu.Upendo au chuki vina vyanzo vyake.Vinginevyo utakuwa ukichaa.
 
Wakati ukiwa mtoto Hadi kijana, MTU uliyekua karibu nae Sana Ni mama yako, hebu tueleze, alikua hapendi wanawake wenzake?
Au ukitaka kujua Kama hawapendani, hebu mfanyie mwanamke mmoja ubaya uone reaction ya wanawake wanao mzunguka.
Mimi pia nashangaa "how"? Ndio maana nikaomba vitajwe tunavyofanyiana ambavyo vinareflect kutokupendana kwetu. Ambavyo wanaume hawafanyiani.

Watu kuwa competitors haimaamishi wanachukiana at all.
 
Back
Top Bottom