Tangu ninakua nimekuwa nikisikia kauli za wanawake hawapendani, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, je, ni kweli wanawake hawapendani au ni nadharia tu ilitengenezwa kuwagawa wanawake wasiaminiane kuwa hakuna anayempenda mwingine?
Nauliza hivi kwa kuwa msemo huo umekuwa ukisikika zaidi kusemwa na sisi wanaume japo wapo na wanawake wamekuwa wakisema ila huwa inatokea pale wanapokwazana kitu ambacho napata mashaka kwa kuwa kukwazana hutokea pande zote, kwa nini ihusishwe na wao kutokupendana?
Je, kisaikolojia ni kweli hawapendani? Jamiicheck naombeni mtusaidie katika hili, ukweli ni upi?
Nauliza hivi kwa kuwa msemo huo umekuwa ukisikika zaidi kusemwa na sisi wanaume japo wapo na wanawake wamekuwa wakisema ila huwa inatokea pale wanapokwazana kitu ambacho napata mashaka kwa kuwa kukwazana hutokea pande zote, kwa nini ihusishwe na wao kutokupendana?
Je, kisaikolojia ni kweli hawapendani? Jamiicheck naombeni mtusaidie katika hili, ukweli ni upi?