Mama zingatia ushauri wangu tafadhali, Halafu ukianzisha usisahau kunitag nije kukazia, yani hatutakiwi kuyapumzisha haya mafurushi hata kidogo 🤣🤣Dota love nakuona🤣🤣
Kayumba Secondary School.Hiki kingereza umekitoa wapi![]()
Hayo sijui mkuu, kumbe wanawake nao wanaweza kuwa waume?hawakuwa mume na mke hao?