Je ni kweli tecno Wana tablet new brand?

Je ni kweli tecno Wana tablet new brand?

Superpower

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2018
Posts
826
Reaction score
921
Juzi nilienda madukani kuulizia tablet nikaambiwa hazipo mkoani ila nikitaka naagiziwa toka dar. pia nikaambiwa zipo brands za tecno Samsung.

Sasa nikawa nauliza Sana kuhusu tecno wakiniambia nitaipata kwa Tshs 250000.

Je ni kweli tecno Wana tablet new brand na je bei ina range ngapi hadi ngapi?
 
Tecno hawatoi sana tablet. Tablet ya mwisho nilioona ya tecno ilikuwa DroidPad7 , iliyotoka baada ya PhantonPadMini.

Hiyo DroidPad7 ndio unayoweza kuipata madukani ingawa ni ya miaka kama 3 iliyopita na unavyojua hazipati system update.

Zaidi zaidi tecno wanazo WinPad , hizi ni tablet za windows zenye keyboard, ambazo nimeona zinaRange kwenye 800,000
 
Tecno hawatoi sana tablet. Tablet ya mwisho nilioona ya tecno ilikuwa DroidPad7 , iliyotoka baada ya PhantonPadMini.

Hiyo DroidPad7 ndio unayoweza kuipata madukani ingawa ni ya miaka kama 3 iliyopita na unavyojua hazipati system update.

Zaidi zaidi tecno wanazo WinPad , hizi ni tablet za windows zenye keyboard, ambazo nimeona zinaRange kwenye 800,000
Duuu! Hawa jamaa basi watakuwa walitaka kunipiga je mkuu ni kampuni gani inaweza ikawa ina tablet za Bei poa
 
Juzi nilienda madukani kuulizia tablet nikaambiwa hazipo mkoani ila nikitaka naagiziwa toka dar. pia nikaambiwa zipo brands za tecno Samsung. Sasa nikawa nauliza Sana kuhusu tecno wakiniambia nitaipata kwa Tshs 250000. Je ni kweli tecno Wana tablet new brand na je bei ina range ngapi hadi ngapi?
Unataka Tablet inayoingia line ama hata ya kawaida?
 
Hapana sio lazima nataka niwe na illustrate comics kwenye sketchbook app
Duh, probably hakuna tablet ya bei rahisi itakayofanya hiyo kazi.

Kama budget ni ndogo kabisa angalau Tafuta Fire HD tablet za Amazon hizi ni Around $16 mpaka 80 (kwenye sale) sometime mpya sometime used. hakuna Duniani tablet itakayokupa value kushinda za Amazon. Sema hazina tech yoyote ya Kalamu ngumu kuchorea.

Kwa professional Tablet za kuchorea ni ghali sana, sometime zinazidi Dola 1000.

Ambazo unaweza pata kwa bei rahisi labda mtumba wa flagship Tablet za Samsung, kuanzia Tab s4 mpaka s7 zina Kalamu, Pia baadhi zinakuja na subscription ya Bure ya Clipart studio App maarufu ya kuchorea ambayo ni ya kulipia.
 
Hapana sio lazima nataka niwe na illustrate comics kwenye sketchbook app
Tafuta tablets za

HUION ama WACOM ila usitegemee kuchati humo​


Angalia ya budget yako

Pia zipo za bei cheeeeeee nenda

bangood.com

Ila processor kuwa makini nazo zingine hazitelezi vizuri
 
Tafuta tablets za

HUION ama WACOM ila usitegemee kuchati humo​


Angalia ya budget yako

Pia zipo za bei cheeeeeee nenda

bangood.com

Ila processor kuwa makini nazo zingine hazitelezi vizuri
Hizi za huion au wacom si unaunganisha na pc
 
Duh, probably hakuna tablet ya bei rahisi itakayofanya hiyo kazi.

Kama budget ni ndogo kabisa angalau Tafuta Fire HD tablet za Amazon hizi ni Around $16 mpaka 80 (kwenye sale) sometime mpya sometime used. hakuna Duniani tablet itakayokupa value kushinda za Amazon. Sema hazina tech yoyote ya Kalamu ngumu kuchorea.

Kwa professional Tablet za kuchorea ni ghali sana, sometime zinazidi Dola 1000.

Ambazo unaweza pata kwa bei rahisi labda mtumba wa flagship Tablet za Samsung, kuanzia Tab s4 mpaka s7 zina Kalamu, Pia baadhi zinakuja na subscription ya Bure ya Clipart studio App maarufu ya kuchorea ambayo ni ya kulipia.
Nilishawahi kuona vp Ina accept playstore
 
Duh, probably hakuna tablet ya bei rahisi itakayofanya hiyo kazi.

Kama budget ni ndogo kabisa angalau Tafuta Fire HD tablet za Amazon hizi ni Around $16 mpaka 80 (kwenye sale) sometime mpya sometime used. hakuna Duniani tablet itakayokupa value kushinda za Amazon. Sema hazina tech yoyote ya Kalamu ngumu kuchorea.

Kwa professional Tablet za kuchorea ni ghali sana, sometime zinazidi Dola 1000.

Ambazo unaweza pata kwa bei rahisi labda mtumba wa flagship Tablet za Samsung, kuanzia Tab s4 mpaka s7 zina Kalamu, Pia baadhi zinakuja na subscription ya Bure ya Clipart studio App maarufu ya kuchorea ambayo ni ya kulipia.
Mkuu Salaam, hizo Tab za Amazon ulizomention zinatumia Line? na Je naweza weka apps?
 
Mkuu Salaam, hizo Tab za Amazon ulizomention zinatumia Line? na Je naweza weka apps?
Hazina line ni wifi tu, na Ni fork version ya Android Sema haiji na playstore. Utaweka apps zote za Android.

Pia unaweza weka playstore kupitia tool fulani hivi,

Sema weakness yake kubwa ni 32Bit os, hivyo kuna baadhi ya vitu heavy hutaweza run.
 
Hazina line ni wifi tu, na Ni fork version ya Android Sema haiji na playstore. Utaweka apps zote za Android.

Pia unaweza weka playstore kupitia tool fulani hivi,

Sema weakness yake kubwa ni 32Bit os, hivyo kuna baadhi ya vitu heavy hutaweza run.
ok , vipi kuhusu PDF files, mfano nina EBooks naweza tumia kusomea?
 
Back
Top Bottom