Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,919
- 33,358
Hajakwazana na top cabinet?Huyo jamaa alikuwa hamsikilizi pm wala vp alikuwa hana tofauti na Sabaya.Kama ndo mawaziri aliwadharau sana kufikia kusema yeye na waziri hakuna tofauti yoyote.Sitegemei DAB kufanywa chochote ukizingatia hajakwazana na top cabinet.
Pia alisoma alama za nyakati mapema akafunga mdomo ..imemsaidia sana
Jukwaa la tetesi ndio lipiHii post ingekuwa imeletwa na mtu asiyekuwa wa chadema ingekuwa imeshapelekwa kwenye jukwaa la tetesi zamani sana; lakini kwa kuwa aliyepost ni mchadema wa kindakindaki basi tutaendelea kuiona kwenye jukwaa za siasa mpaka kieleweke!
Acha kufanyia kazi habari za kusikia malaya wewe iko siku utasikia umekufa kenge weweNasikia hivyo kuwa hayupo nchini.
Hivi ndivyo litatoka jela likiwa na miaka 65...wakiwa wameshalipinda mugongo ipasavyo Kwa kifir
Dah! Nilisahau aisee, labda aende Honduras ambako hakuna anayeweza kukufikiria!!Bashite ,USA,UK na washirika wao kashapigwa TANCHI , pona pona yake labda CHINA napo ni rafiki wa TZ ,sijui aende wapi DAB.
Watakuwa wamemtoroshaView attachment 1975718
Zipo tetesi kwamba yule Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea nchini Tanzania , Mh Paulo Makonda amekimbilia South Africa baada ya kusoma alama za nyakati .
Jf ina watu wengi kutoka sekta tofauti , kuna ukweli wowote kwenye hili , na kwanini akimbie ?
Anaruka ruka au anakula mema ya nchi baada ya kutoa jasho na sasa anapumzika!!Huwa nasikia anaishi Kigamboni lkn mm nikigongana naye Dodoma miezi mitatu iliyopita.
Hv sasa wadau wanadai anapatikana Arusha wengine wanasema SA. Why anaruka ruka hivyo?
Dah machalii noma sanaKwa mwezi uliopita alikuwa Arusha Njiro makazi mapya na akijishughulisha na kilimo cha mboga, kwa taarifa chalii za Arusha tayari walishampiga bao kwa kuuza mazao bila kumpa chochote, akasema anamwachia Mungu.
Sasa kama amepaa hizo ni mpya
Mhhh hiyo meza ya jirani ndio location ganikuna watu ujanja wao uko humuhumu tu tena kwa sababu ya MaGod father nje ya hapo ni wachumba tu.....huyo jamaa ujanja wake mwisho ni pale Midland kwa nanihii , ngoja tuache tu....ujanja wake umeishia hapo....hahahaha ila yuko meza ya jirani hapa anasubiri naye kupewa kazi kama mwenzie ili wawazamishe CDM....hahahaha Bongo ngumu sana.....
Mhhh hiyo meza ya jirani ndio location ganikuna watu ujanja wao uko humuhumu tu tena kwa sababu ya MaGod father nje ya hapo ni wachumba tu.....huyo jamaa ujanja wake mwisho ni pale Midland kwa nanihii , ngoja tuache tu....ujanja wake umeishia hapo....hahahaha ila yuko meza ya jirani hapa anasubiri naye kupewa kazi kama mwenzie ili wawazamishe CDM....hahahaha Bongo ngumu sana.....
View attachment 1975718
Zipo tetesi kwamba yule Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea nchini Tanzania , Mh Paulo Makonda amekimbilia South Africa baada ya kusoma alama za nyakati .
Jf ina watu wengi kutoka sekta tofauti , kuna ukweli wowote kwenye hili , na kwanini akimbie ?
Aiseee !!Uzuri wa Mambo ya jinai huwa hayana muda, atawajibishwa tu... Ule uharibifu alipovamia clouds na kuchafua brand image ya progammes za biashara ya clouds na prime time promotion, tetesi za kifo cha swahiba wake waliokuja kuwa maadaui ghafla baada ya ruge kukataa mashinikizo ya bashite na bashite kumfanyizia fujo,kudhalilisha kuwapiga staff kwa kutumia ubabe wa kuwa kiongozi. Ukwepaji Kodi, kujipatia mali, viwanja kwa dhuluma na shortcut, kudhalilisha watu kwa kuwatangaza kwenye jamii kwamba ni watumia na wauzaji wa unga pasipo ushahidi(aliwahukumu kwenye jamii na duniani) hao kina manji, ridhiwani, Idd Azzan alimletea madhara akakosa ubunge, listi ni kubwa leo jamii haiwaheshimu wale watu. Kushambuliwa lisu - on top ya ile Mambo lisu claimed Sana. Marekani kupitia udhooefu wao wanatambua kuwa huyu bwana aliendesha operation za kuteka na kuua watanzania waliopishana nao kwenye mitazamo ndio mtu PEKEE KWENYE KWENYE SERIKALI HAWAMU YA TANO KUTAJWA NA MAREKANI KUWA ANAHUSIKA NA MAUWAJI YA WATU, AME PIGWA BAN NA U.S.A. alifanya maovu mengi kwa kisingizio cha kuwa karibu na Mkubwa, sometimes Mkubwa alikuwa hajui maovu ya Hawa kina bashite. Pia inasemekana yeye ndio alikuwa dealer Mkubwa wa drugs
Utatembelewa Leo au kesho ndipo utajua ni kweli au uongo?View attachment 1975718
Zipo tetesi kwamba yule Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea nchini Tanzania , Mh Paulo Makonda amekimbilia South Africa baada ya kusoma alama za nyakati .
Jf ina watu wengi kutoka sekta tofauti , kuna ukweli wowote kwenye hili , na kwanini akimbie ?