Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,819
- 156,962
Kwa mwezi uliopita alikuwa Arusha Njiro makazi mapya na akijishughulisha na kilimo cha mboga, kwa taarifa chalii za Arusha tayari walishampiga bao kwa kuuza mazao bila kumpa chochote, akasema anamwachia Mungu.View attachment 1975718
Zipo tetesi kwamba yule Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea nchi Tanzania Mh Paulo Makonda amekimbilia South Africa baada ya kusoma alama za nyakati .
Jf ina watu wengi kutoka sekta tofauti , kuna ukweli wowote kwenye hili , na kwanini akimbie ?
Sasa kama amepaa hizo ni mpya