Je ni kweli hili suala?

Hawezi kujua aisee sis watu wa Mungu tunawatafuta hawa

Ila isije kua ndo hagusi lakn upande mwingine ndo mwenyew
Ikiwa na yeye ni mtu wa Mungu kama sisi,hofu ya Mungu itakuwa ndani yake jirani amini usiamini.lkni kama ndo wale wa kasoro pombe na sigara..maweeee tumeumia maana skirt ndo ugonjwa wake..

Tusamehe Dam55 tunakujadili huku
 
Ikiwa na yeye ni mtu wa Mungu kama sisi,hofu ya Mungu itakuwa ndani yake jirani amini usiamini.lkni kama ndo wale wa kasoro pombe na sigara..maweeee tumeumia maana skirt ndo ugonjwa wake..

Tusamehe Dam55 tunakujadili huku
Umeona ee, kuna uzi huku wanaume walitiririka wanywaji vs skert.......naweza sema most of them wasiokunywa wanapenda skert
Btw kikubwa awe na hofu ya Mungu mengine atakua ata mwoga kufanya
 
Ikiwa na yeye ni mtu wa Mungu kama sisi,hofu ya Mungu itakuwa ndani yake jirani amini usiamini.lkni kama ndo wale wa kasoro pombe na sigara..maweeee tumeumia maana skirt ndo ugonjwa wake..

Tusamehe Dam55 tunakujadili huku
Nyinyi jadilini tu ila siogopi kusema vile nilivo, ila kwa vile watu hapa hatufahamiani kiuhalisia inakuwa ngumu kuthibitisha ukweli wa kitabia hadi ukaaminika, unasema unaweza usiwe mtu wa pombe sana but ukawa wa skirt.
Unawaza usiamini kwasababu hakuna ushahidi ila ukweli sio wote ni watu hivyo mnavyodhani wandugu.
 
Umeona ee, kuna uzi huku wanaume walitiririka wanywaji vs skert.......naweza sema most of them wasiokunywa wanapenda skert
Btw kikubwa awe na hofu ya Mungu mengine atakua ata mwoga kufanya
Jamani jirani huwezi amini,kuna ndg yetu fulani hivi vitu vya anasa kama pombe na sigara yeye hapana likn hii kitu inayoitwa skirt mama yang weeeeeeeee ni anazibadilisha kuliko kawaida aiseeh nahisi shetani kaamua bora amuache maana dhambi anayoifanya hata shetani inamuogopesha.

n gec wat huu mwaka wa kumi na moja yuko kwenye ndoa na hajabahatika kumtungisha mke wake mimba
 
Ujue maneno yako yanazidi kunimaliza huku nilipo.yafanye basi yawe magumu baba angalau...
 
Umeona ee, kuna uzi huku wanaume walitiririka wanywaji vs skert.......naweza sema most of them wasiokunywa wanapenda skert
Btw kikubwa awe na hofu ya Mungu mengine atakua ata mwoga kufanya
Hayo ni maoni yao lakini pia sisemi hayana ukweli moja kwa moja ila hapa kila mtu anasoma na anaona basi tufanye kitu kimoja.
Kama kuna mdada hapa JF niliwahi kukufuta PM nikakushushia mistari Mimi mwenyewe nakuruhusu bila shaka yoyote njoo hapa useme ukweli.
 
Aisee chakorii uyu mtu sio wa kumuachia ata pm hajawahi kwenda
 
Umeona ee, kuna uzi huku wanaume walitiririka wanywaji vs skert.......naweza sema most of them wasiokunywa wanapenda skert
Btw kikubwa awe na hofu ya Mungu mengine atakua ata mwoga kufanya
Suala la sket hakuna mwanaume asiyependa hata mlevi sket anatumia sana labda uongelee idadi ya sket
 
Teeeh laana nn[emoji87]
 
Jitu mzambia mbona umeandika haraka haraka kma umelewa?
 
Niliapa na Mungu wangu nisaidie kutimiza kiapo changu siku zote za maisha yangu yalio baki hapa duniani kuwa katika kinywa changu kitu kinachoitwa kilevi iwe pombe ama sigara kisiguse hadi naingia kaburini.
Unakosa raha sana ww
Mm cku bila kunywa haiendi karbu tu chama chetu cha walevi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…