Nikweli mkuu ukosefu kwa mwanadamu ndio ukamirifu wakeUpo sahihi mkuu.
Nadhani mleta mada alipitiwa kidogo. Ni rahisi kuchanganya waandishi kama ukiwa msomaji wa vitabu au vitu vingi sana kwa muda mfupi.
Hapa kuna vitu viwili tunavichanganya. Ubongo kufanya kazi na kuutumia ubongo kufikiri.
Ubongo unafanya kazi 100% kinyume cha hapo hitilafu itajitokeza kwa mhusika.
Hizo asilimia nafikiri zipo hapo kwenye matumizi ya ubongo kwenye kufikiria.
Tatizo hilo hilo moja linalofanana linaweza kuwapata watu tofauti kila mmoja akaja na utatuzi tofauti kabisa.
Nafikiri msisitizo uwe ni namna ya kuboresha kuutumia ubongo au kufikiria ipasavyo. Ndio maana Ford alisema kufikiria ni kazi ngumu sana na wengi hawapendi kuifanya au kujihusisha nayo.
Ili ndio jibu la kuishia kutumia 10% tu ya power ya brain.Nikweli mkuu ukosefu kwa mwanadamu ndio ukamirifu wake
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
"Inasemekana kuwa"!?? Means they are not sure,,,,View attachment 1018243
SALUTE COMRADES
Miaka mingi kumekua na nadharia inayosema kua binaadamu tunatumia asilimia 10% tu ya ubongo wetu katika mambo yote tunayofanya, gunduzi zote za kiteknolojia na kisayansi, kufikiria na kufanya maamuzi kwenye vitu vigumu na mambo kadhalika ni asilimia 10% tu ndio metumika!wengine wanasema Albert Enstein alitumia 13% ya ubongo wake. Kama kwa maendeleo yote haya tumetumia asilimia kumi imagine tukiweza tumia 100% ya akili zetu
Muvi mbalimbali kama LUCY aliyocheza mwigizaji scarlet Johnson ilizidi kupigilia msumali nadharia hii kwa kuonyesha jinsi ambavyo huyo bnti Lucy alivyokula madawa ambayo yalimfanya kuweza kua na uwezo wa kutumia akili yake kwa asilimia 100% ambapo alianza kuweza kusafiri katika muda kwa akili (Mind Time Travelling), aliweza kukontroo magari kwa akili,aliweza kutumia kioo cha gari kama computer, aliweza kujifunza kichina ndani ya sekundi na mengine meengiii. Pia muvi mbalimbali kama Limitless ya Bradley Cooper, Define your life, flight of the navigator na kadharika zimeelezea nadhalia hii ya 10% of Brain.
Inasemekana kua nadharia hii ilisambazwa na mwandishi wa habari aitwae Lowell Thomas kwa kutumia kitabu chake kiichoitwa How to win friends and influence peoples ambapo alimnukuu vibaya mwanasaikolojia William James ambapo aliwahi kusema “average person specifically develops only 10% percent of his/her latent ability” ambapo kiuhalisia James alikua amezungumzia “our latent mental energy” lakini pia inaonekana kua nadharia hii pia ilichagizwa pia kuenea na mtalamu wa ubongo (Neurosurgeon) Wilder Penfield ambapo aligundua silent cotex mnamo mwaka 1930’s ambapo alisema kua silent cotex haina kazi kwenye ubongo mpaka ishituliwe na na umeme lakini kiuhalisia hiyo sehemu siku hizi imegundulika kua inafanya kazi.
Wanasayansi wengi wanasema kua nadharia hii ni uongo! Bnaadamu wote tunatumi 100% ya ubongo wetu, vifaa vya kisasa kama brain scanning vinaonyesha ubongo wetu unafanya kazimuda wote kwa kupitia viungo vyote hata tukiwa tumepumzika zipo tafiti nyingi zimefanywa zinaonyesha kua binaadamu tunatumia 100% ya ubongo wetu.
Kwenu GreatThinker je mna maoni gani juu ya hili? Ni kweli tunatumia 10% kwa mnavyodhani na kama tunatumia 10% ya uwezo wa ubongo wetu nini kitatokea kama tutaweza kutumia 100% ya uwezo wa ubongo wetu??
Tchao..
~Da’Vinci..
Mafanikio ni kipimo cha akili?ukijiona huna mafanikio akati wenzio wana mafanikio basi ujijue ndo wale wa 10%
Sahihisho kwa mtoa mada. Aliyeandika HOW TO WIN FRIENDS AND INFLUENCE PEOPLE ni Dale Carnegie. Ndiye pia aliyeandika HOW TO STOP WORRYING AND START LIVING. Great books indeed
Peale sio authority wa haya mambo na kusema kuwa his word is final. Sio kweli.Dr Norman Vincent Peal outher wa kitabu kiitwacho The power of positive think anasema kuwa ikitokea binadamu akatumia akili yake kwa kufikia 50% angeweza kuujenga mji wa New York kwa siku 1.
Hii inaonyesha kwamba binadamu wengi bongo zetu ni new brand yaani hazijatumika kabisa. Watu wa aina ya Eistern, Newton, Kina Da Vinci ndio watu wanaoonekana kutumia akili nyingi sababu mambo waliyofanya yanaonekana. Na hii imewasaidia maana wao waliyaweka kwenye maandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wewe ndo huwa unatumia asilimia chache.
Hahahaa haiwezekani tukawa tunatumia asilimia chache hivyo. Kwamba inayobaki ipo dormant tu? Basi lazma kungekuwa na watu wachache wenye superpowers walioweza kutumia asilimia zote.Mkuu wengi tumeambiwa hivi. Kiukwel ija impact mbaya kwa mtoto hasa mie imeniathiri mno!! Kama uluwahi pitia somo Child Psychology utakua unelewa
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Wewe ungekuwa umetumia nyingi basi ungekuwa umefanya inventions za kutoshaLabda wewe ndo huwa unatumia asilimia chache.
wabongo karibu wote tunatumia 0.0001% ya bongo zetu kama unabisha niulize kwa nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu wanatingizaga mjini mkuu.. lakini kama twafikiria sawa kwanini hatuwafikii mafanikio to all aspects of life?Hahahaa haiwezekani tukawa tunatumia asilimia chache hivyo. Kwamba inayobaki ipo dormant tu? Basi lazma kungekuwa na watu wachache wenye superpowers walioweza kutumia asilimia zote.