Travis Walker
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 323
- 332
Mkuu kwani ww inakuuma wapi mtu akizungumzia imani yake. Wewe pita tu, haujalazimishwa kuanmini wanacho-amini wengine.Hv huwez kuchangia bila kuhusisha dini
Mkuu kwani ww inakuuma wapi mtu akizungumzia imani yake. Wewe pita tu, haujalazimishwa kuanmini wanacho-amini wengine.Hv huwez kuchangia bila kuhusisha dini
Kwani Man-Made sio ubunifu wa mwanadamu?...Ulikua unataka ubunifu upi?Maisha tunayoishi kwa sasa ni man-made, hayana ubunifu wetu wenyewe. Akili zetu zimekuwa dormant zinategemea already made discoveries.
Wazungu pia ni wajanja sana, walituletea hii life mode ambayo inatufanya tusijishughulishe na gunduzi zetu bali tutegemee zao tuu.
Hii nadharia za 10% usage of brain sidhan km ni sahihi kwa sababu haiko specific ni ktk situation zipi mtu anakuwa katumia % kadhaa. Pia binadamu tumezaliwa na IQ tofauti tofauti kwa io wenye IQ kubwa lazima wawazidi wenye ndogo.
Mkuu, mada ilikua nyepesi Sana ....Ila ye km kawaida yake akaingiza na dini ....Mkuu kwani ww inakuuma wapi mtu akizungumzia imani yake. Wewe pita tu, haujalazimishwa kuanmini wanacho-amini wengine.