ndugu, week kama mbili tatu nyuma ACB LTD walitufanyia interview kwa ajili ya post za bank taller, kwa habari za chini chini ni kwamba wameshapata watu wanao wafaa kwa ajili ya kazi zao, sasa naomba kama kuna mwenye uhakika au any updates atufahamishe, ili tuendeleze harakati zingine wakuu! asanteni.