Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 1,590
- 2,090
- Thread starter
- #61
Lakini mkuu
Usisahau kuna Waafrika wachache wanatetea wazungu kuwa ilikuwa ni haki yetu kupitia hatua hizi.. Poor AfricansEeeee jamani mbona shida au tutafute wanasheria tudai fidia ya mamillion ya Dola? Mbona Wazee Kenya wanataka kudai fidia ya aridhi yao kwa Waingereza-UK maana waliichukua wakalima Chai maana kuna rutuba sana.