HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 607
- 553
HIRIZI walizovaa WAAFRIKA zilikuwa na nguvu kuliko biblia ndiyo maana wazungu wakawakaza Waafrika wasizivae kwani zilikuwa KINGA ya kweli kuuzuia ukoloni.
Kikubwa walichofanya wazungu ni kuhujumu UMOJA wa Waafrika kwa kuwalaghai wafuasi wa viongozi wa Kiafrika kwa ahadi za uongo na zawadi kisha kutoa siri za nguvu za HIRIZI na kuuwawa kitu kilichoondoa imani ya Waafrika kwa viongozi wao.
Kama kweli biblia ni silaha ya kweli kwanini waisraeli wasiitumie kujikinga au kuwaondoa WAPALESTINA walio na HAKI na ardhi yao?
DINI ZA KIAFRIKA zilikuwa na nguvu kuliko ukristu na uislam yapaswa tuzirejelee kwa ustawi wetu hivyo HIRIZI zina nguvu kuliko biblia na msahafu tukizitumia vizuri.
Kikubwa walichofanya wazungu ni kuhujumu UMOJA wa Waafrika kwa kuwalaghai wafuasi wa viongozi wa Kiafrika kwa ahadi za uongo na zawadi kisha kutoa siri za nguvu za HIRIZI na kuuwawa kitu kilichoondoa imani ya Waafrika kwa viongozi wao.
Kama kweli biblia ni silaha ya kweli kwanini waisraeli wasiitumie kujikinga au kuwaondoa WAPALESTINA walio na HAKI na ardhi yao?
DINI ZA KIAFRIKA zilikuwa na nguvu kuliko ukristu na uislam yapaswa tuzirejelee kwa ustawi wetu hivyo HIRIZI zina nguvu kuliko biblia na msahafu tukizitumia vizuri.