warrior smas
New Member
- Jul 18, 2016
- 1
- 0
Mnasema eti TCU sasahivi cut points zao lakini mmesahau kimoja mwaka jana C ilkuwa 40-49 na E mwaka huu ilikuwa 40-49 na D ilianzia 50-50 sasa iweje mwanafunzi aliyemaliza mwaka jana ambaye amepata C 2 ambazo ni sawa sawa na E mbili za mwaka huu awe na sifa na aliyepata E mbili asiwe na sifa.
Hapa tujiulize la sivyo kuna jipu hapa.
Hapa tujiulize la sivyo kuna jipu hapa.