geekizuri02
Member
- Oct 16, 2022
- 19
- 58
Changamoto kubwa katika jamii yetu kwa sasa ni AJIRA hasa kwa vijana, watu wamemaliza vyuo wakiwa na degree nzuri na matokeo mazuri lakini wako mitaani, hakuna ajira pia serikali yetu kila kukicha ni "Kujiajiri".
Kwa maoni ni biashara ipi mtu anaweza kuanzisha akiwa na mtaji mdogo kabisa kama laki moja(100.000) na akatoka kimaisha mjini?. Biashara inahitaji uvumilivu kwahivyo atakama huchukua muda au kuleta faida pole pole nayo bado ni biashara.
Kwa maoni ni biashara ipi mtu anaweza kuanzisha akiwa na mtaji mdogo kabisa kama laki moja(100.000) na akatoka kimaisha mjini?. Biashara inahitaji uvumilivu kwahivyo atakama huchukua muda au kuleta faida pole pole nayo bado ni biashara.