computer engineer
Member
- Mar 26, 2018
- 76
- 38
Habari wana JF, natamani sana nifungue NGO ya ambayo itajihusisha na kuwaangalia na kuwatetea watoto wenye ulemavu na waishio katika mazingira magumu kwa kuwapa misaada midogo midogo na kuhakikisha wanapata haki za msingi kama elimu, afya nk. Nimeshafuatilia jinsi ya kusajili na ada za kusajilia.
Swali langu je, nikishaifungua nitawezaje pia kupata msaada wa funds kutoka mashirika mbalimbali na serikalini ili iniwezeshe kukamilisha malengo nilojiwekea katika kuwasaidia hawa watoto angalau, na je kwa Tanzania ni rahisi kupata hizo Funds. Mwenye ufahamu wa haya mambo atoe ufafanuzi
Swali langu je, nikishaifungua nitawezaje pia kupata msaada wa funds kutoka mashirika mbalimbali na serikalini ili iniwezeshe kukamilisha malengo nilojiwekea katika kuwasaidia hawa watoto angalau, na je kwa Tanzania ni rahisi kupata hizo Funds. Mwenye ufahamu wa haya mambo atoe ufafanuzi