Je Ndalichako hajasoma vigezo vya TCU?

Hebu acheni kupotosha watu, halafu wewe unayefananisha arts na science subjects kapimwe ubongo...tatizo hamtaki kusoma guidebook 2016/2017 kuna kozi ambazo zinahitaji point 4 kwa masomo matatu yaani DEE ambazo asilimia kubwa ni science na zile za point 4 masomo mawili yani DD.. pitieni vizuri hicho kitabu na vyuo vyote mpaka mwisho na muache kupotoshana humu..
Tatizo la watanzania hawapendi kusoma bali wanapenda kusimuliwa na kuishia kudanganyana...
daaaaah hapo sasa ndo pagumu pia ndo msaada unahitajika..........plz tueleweshe basi si unajua watu wengne hawana access ya internet
 
Sasa sisi wa science wth d E E inakuaje maana huez kufananisha arts na science subjects na ata na ivyo grades zimepandishwa tutaenda wapi
Hakuna cha science wala nini. wewe umefeli. kwa vigezo hivyo utaenda diploma wewe na arts wako aambapo diploma ni principle mbili kama hizo zinakubalika.
 
KAULI HII IMETAWALA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII KWAMBA mh Joyce Ndalichako alisema kwamba haitaji E kwa wale form 6 kitu ambacho kinaleta mkanganyiko kwa watu wengi kutokana na vigezo vya TCU...

TCU walisema mtu akiwa na AE,BE,CE,DD...ambazo zina point 4.0

Ukweli ni kwamba sina uhakika kwamba hawawasiliani ila waziri itakua hajaona hivyo vigezo coz mpk sasa hamna habari au taarifa yoyote kuhusu hicho kitu ila ni kwenye FACEBOOK,WHATSAPP na kwingine..............

nnauhakika woote wenye 4.0 wanaenda chuo....

HEBU TUBADILISHANE MAWAZO HAPA WADAU WA ELIMU,WANAFUNZI na WENGINEO............PIA TCU TUNAOMBA MTOE UFAFANUZI KAMILI
nadhan kamaanisha ukiwa na E flati hauendi chuo
 
Hakuna cha science wala nini. wewe umefeli. kwa vigezo hivyo utaenda diploma wewe na arts wako aambapo diploma ni principle mbili kama hizo zinakubalika.
Acha kudanganya wewe, soma vizuri guidebook utaelewa unatema pumba...watanzania ni wapuuzi sana na kujifanya kila kitu mnajua ilihali hamjui...eti hakuna cha science wala arts?? Kasome vizuri ndio utajua umetema pumba
 
kwa nini kama umesoma shule ambayo wenzako wamepata A mpaka D kwa nini wee upate EE? mna shida sana ndio wanaojifanya wanaharakati wa kisiasa mashuleni, Pia kama unazo hizo wewe nenda diploma utafanikiwa sio lazima uende moja kwa moja kwenye degree...
 
Sikieni nyie mbona mnabisha kitu ambacho kipo wazi kuna tofauti ya miaka ya kumaliza pale someni vizuri afu wa 2016 mwenye DE ,AE,CE,BE,haendi popote labda upige diploma na huko wamekaza ila mwenye DD,AA,BB,CC huyo anakwenda chuo kakizi vigezo sasa wewe baki unashangaa shilingi inazama afu meli inaelea......!
 
KAULI HII IMETAWALA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII KWAMBA mh Joyce Ndalichako alisema kwamba haitaji E kwa wale form 6 kitu ambacho kinaleta mkanganyiko kwa watu wengi kutokana na vigezo vya TCU...

TCU walisema mtu akiwa na AE,BE,CE,DD...ambazo zina point 4.0

Ukweli ni kwamba sina uhakika kwamba hawawasiliani ila waziri itakua hajaona hivyo vigezo coz mpk sasa hamna habari au taarifa yoyote kuhusu hicho kitu ila ni kwenye FACEBOOK,WHATSAPP na kwingine..............

nnauhakika woote wenye 4.0 wanaenda chuo....

HEBU TUBADILISHANE MAWAZO HAPA WADAU WA ELIMU,WANAFUNZI na WENGINEO............PIA TCU TUNAOMBA MTOE UFAFANUZI KAMILI

Acha uvivu ka vp wewe risit kitu gani.... ndalichako jembe
 
kwa nini kama umesoma shule ambayo wenzako wamepata A mpaka D kwa nini wee upate EE? mna shida sana ndio wanaojifanya wanaharakati wa kisiasa mashuleni, Pia kama unazo hizo wewe nenda diploma utafanikiwa sio lazima uende moja kwa moja kwenye degree...
HUJAELEWA MADA pia inaonekana umesoma shule za PRIVATE tangu NURSAR ndo maana walopoka U don know anything about shule THINK BIG kwann hata BILL GATES alipata LOW................
 
Back
Top Bottom