Nchimbi: Mimi hata mambo ya kugombana kivyama vyama siyapendi naona ni ujinga tu

Nchimbi: Mimi hata mambo ya kugombana kivyama vyama siyapendi naona ni ujinga tu

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,464
Reaction score
6,775
Wakuu,

Akizungumza kwenye msiba wa Kardinali Pengo Emmanuel Nchimbi Makamu wacRais wa Tanzania amesema yeye masuala ya kugombana kwa vyama anaona ni mambo ya kijinga

 
Acha unafiki - achia ngazi basi tuone kama wewe kidume nanunamqqnisha - na mwamhie boss wako live amwachie Polepole na akome kuteka na kuua Watanganyika. Aache vyama vifanye siasa na atoke hadharani atubu aliyoyafanya October 29.

Bila hivyo, wewe na yeye woote chungu kimoja.
 
Acha unafiki - achia ngazi basi tuone kama wewe kidume nanunamqqnisha - na mwamhie boss wako live amwachie Polepole na akome kuteka na kuua Watanganyika. Aache vyama vifanye siasa na atoke hadharani atubu aliyoyafanya October 29.

Bila hivyo, wewe na yeye woote chungu kimoja.
Umeishia njiani, mkuu 'FUSO'.

Serikali aliyomo yeye huyo Nchimbi, ni serikali HARAM. Amwambie huyo boss wake wakae pembeni waTanzania waweke viongozi wanaowataka wao wenyewe, bila ya mizengwe.

Hizi ngonjera za kujifanya yeye kuwa tofauti na wengine ni mbinu zilezile walizozibuni siku hizi za karibuni kuhadaa watu.
Jaji Mkuu katumia mbinu hizo hizo za kuhutubia mambo asiyoweza kuyafanya huko mahakamani.

Wanachofanya sasa hivi ni kampeni za kufukia uovu, huku wakiwa na matumaini ya kuwa waTanzania watasahau uovu wao.
 
Anaongea upuuzi gani huyo Nchimbi wakati chama chake ndio kinara wa huu uhuni. Anapojiweka tofauti inasaidia nini wakati hawezi kutatua tatizo lililopo?
Wameamua kutumia mbinu hiyo wakidhani waTanzania ni wajinga wasioelewa kitu..
Masaju juzi katoa bonge la hotuba, kwa mahakama yake haifanyi kazi kwa kupokea maelekezo.
Polisi wakitoa tangazo kukanusha uwepo wa TFF, ukisoma tangazo hilo utasema hao siyo polisi wa Tanzania, kwa namna wanavyojitangaza kufanya kazi kwa weledi wa hali ya juu sana..

Yote haya ni mwendelezo wa ulaghai na hadaa zilezile anazotumia huyu mwanamke shetani kabisa.
 
TIndu lissu mpeni urais muone ndio maana hawampi kosa ni moja hana utu mnasema nayo tumpe mjionee.
Ataanza vizuri mtampenda sasa subirieni muone mtaona hawa nafuh maana mnatawala makwenu.

Mfumo wa vyama vingi huwezi kuupoteza ila kupigania hakutokoma maana kila mtu anahitaji ukuwa na wadhifaa sio nyie tu kha .
 
Back
Top Bottom