JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Never ending story😀Umenikumbusha hadithi isiyokuwa na mwisho. "Akaja ndege mmoja, akachukua punje moja akaruka, akaenda zake"
Never ending story😀Umenikumbusha hadithi isiyokuwa na mwisho. "Akaja ndege mmoja, akachukua punje moja akaruka, akaenda zake"
(9) + 1 ni kubwa zaidi
Tanzania kukosa raha umependa tu.Vipi kuhusu namba ndogo kuliko zote? Au ndio mchezo ule ule, kila ikiletwa wewe unatoa 1 , inakuwa ndogo zaidi?
Hiyo 1 unayotaka kuongeza bado ni ndogo kuliko 9(9) + 1 ni kubwa zaidi
Unamaanisha nini kusema infinity is not a number ?Daaah, this is insane, huu ulimwengu kuna kitu vital hatukijui kuihusu. Kitu infinity huwa kinanitia wazimu kabisa..., how can infinity exist? How is there no end to something? How?!
Ipo siku tutagundua, na huo ndio utakuwa mwisho wa dunia. Ikunbukwe, infinity is not a number, but a concept.
Ziro au sifuri ndio nini ?Zero, Sifuri 0.
Any number that you can imagine no matter how big it is, it's always closer to zero than it is to infinity!Je, kunauwezekano tukaifahamu namba iliyokubwa kuliko zote kabisa? Na kama huo uwezekano haupo ni kwanini?
Unaonaje tuanze na Ziro! Ndiyo nini?Ziro au sifuri ndio nini ?
Ndio nimekuuliza wewe sifuri au ziro ndio nini mkuu ?Unaonaje tuanze na Ziro! Ndiyo nini?
Ndio nimekuuliza wewe sifuri au ziro ndio nini mkuu ?Unaonaje tuanze na Ziro! Ndiyo nini?
Kwenye makasha yangu sijaona nilipoandika Ziro.Ndio nimekuuliza wewe sifuri au ziro ndio nini mkuu ?
😀😀
ShitabalwaJe, kunauwezekano tukaifahamu namba iliyokubwa kuliko zote kabisa? Na kama huo uwezekano haupo ni kwanini?
As long as kuna infinite space ya kuandika number that means namba kubwa zaidi ni infinite pia.Je, kunauwezekano tukaifahamu namba iliyokubwa kuliko zote kabisa? Na kama huo uwezekano haupo ni kwanini?
Umezinganisha hapo ambapo ukifanya hutofikia mwishoMayai 9 na mayai 12, yapi ni mengi?
Number inatumika ku-quantify something... so limit ya namba ipo kwenye kitu unachotaka kuki-quantify.... hivyo hakuna maana ya kujua the limit of the number bali kuna maana ya kujua the limit of something. Tunasema space ni infinite kwasababu hatuwezi kumeasure kwa maana hatujui mwanzo na mwisho wake ni upi.Daaah, this is insane, huu ulimwengu kuna kitu vital hatukijui kuihusu. Kitu infinity huwa kinanitia wazimu kabisa..., how can infinity exist? How is there no end to something? How?!
Ipo siku tutagundua, na huo ndio utakuwa mwisho wa dunia. Ikunbukwe, infinity is not a number, but a concept.
huijui namba, 0.1 ni sehemu ya namba.0.1 ni number na ni ndogo kuliko 0.
unapo taja namba unaongelea namba kamili, whole number.Achana na hiyo....Unajua kwamba Kuna namba nyingi(decimals) Kati ya 0 mpaka 1, zaidi kuliko namba kamili(whole numbers) kuanzia 0 mpaka infinity
wewe upo upande wa electronics, mifumo yenu ina tawaliwa na number 0&1.0 hadi 9! au 1 hadi 0? Hesabu huanzia 1 na kuishia 0 na sifuri inaweza kuzifuta namba zote mfano 100,000 × 0 =
au 0 × 100,000=
Zote ni 0.